Ukikataliwa Pm, hasira usilete Jukwaani

Ukikataliwa Pm, hasira usilete Jukwaani

Verifaidi yuza wote njooni hapa nawaita mbwa nyie kwann mnamsumbua mrembo Nusrat? 😹😹

Hamjui kukataliwa? Hivi Vincenzo Jr si verifaidi huyu? Si yeye kweli?
Hebu wataje tuwasuuze mahi..!! 🤣

Mi napenda umbea motroo motroo km huu jamani..!!
Majirani huku 🤣😹😹
Sema wewe.
Yaani mpaka mimi kauzu na ukauzu huu naona litanikuta jambo muda si muda.
Watu wako Pm kimya kimya
 
Atakuja tu 🤣🤣🤣 we subiri!
542D172C-EE87-4FDA-866A-53D70AC2349E.jpeg
 
Naona hii tabia imeota mizizi sasa.

Si kila mwanamke yuko humu JF kutaka mapenzi.

Usidanganyike na Profile pic yangu.

Ukikataliwa kausha na sio kutwa kucha ku-dislike comments au nyuzi zangu.
Nadhani ushajijua.

Hata uki-dislike hunizidishii wala kunipunguzia uhai.

Nakutoa kwenye ignore list ili uione hii post.
Najua na post hii utakuja ku-dislike.

Uki-dislike, nakusanua ili wanaokuona wa maana wakushushe thamani.

Halafu unajiita msomi na bage yako ya verified hiyo!
Naona kama watatu wamedislike, nani kati yao sasa!!!
 
Back
Top Bottom