Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 2,779
- 6,901
Habari wana JamiiForums, poleni na majukumu ya hapa na pale š¤
Imekuwa kawaida sasa kwa watu waliofanikiwa kiuchumi kubaki na siri zao namna walivyo ukimbia ukata, kila Tajiri utakaye muuliza kuhusu mafanikio yake lazima atakuambia:
ā¢ Nilianza kuuza karanga za kupima.
ā¢ Nilianza kushona viatu maeneo ya Ubongo (shoe shine).
ā¢ Nilianza kuuza sumu ya panya, sumu ya mende, sumu ya viroboto, sumu ya kunguni na utitiri.
Baada ya hapo nilidunduliza mpaka unavyo niona sasa nimesimama katika uchumi wa kati.
Majiri nikweli ufanye biashara ya kushona viatu (shoe shine) au kuuza sumu ya panya alafu uwe Tajiri mkubwa?
Imekuwa kawaida sasa kwa watu waliofanikiwa kiuchumi kubaki na siri zao namna walivyo ukimbia ukata, kila Tajiri utakaye muuliza kuhusu mafanikio yake lazima atakuambia:
ā¢ Nilianza kuuza karanga za kupima.
ā¢ Nilianza kushona viatu maeneo ya Ubongo (shoe shine).
ā¢ Nilianza kuuza sumu ya panya, sumu ya mende, sumu ya viroboto, sumu ya kunguni na utitiri.
Baada ya hapo nilidunduliza mpaka unavyo niona sasa nimesimama katika uchumi wa kati.
Majiri nikweli ufanye biashara ya kushona viatu (shoe shine) au kuuza sumu ya panya alafu uwe Tajiri mkubwa?