Ukijichanganya na wadada wa siku hizi, haya mawe lazima yakupate

Bando imeisha zimebaki meseji 2
Naumwa Jino
Nmeteguka mkono
Nimeumia Mguu
Mama anaumwa
Baba anaumwa
Nimefiwa na Bibi
Nimefiwa na Shangazi
Umeme umeisha
Nimemaliza msiba

Hizo meseji zote chini au mbele yake kuna fungu anataka uambatanishe yaan umpe namaanisha umtumie muda huo huo bila kufikiria km unayo au huna
 
Bando imeisha zimebaki meseji 2
Naumwa Jino
Nmeteguka mkono
Nimeumia Mguu
Mama anaumwa
Baba anaumwa
Nimefiwa na Bibi
Nimefiwa na Shangazi
Umeme umeisha
Nimemaliza msiba

Hizo meseji zote chini au mbele yake kuna fungu anataka uambatanishe yaan umpe namaanisha umtumie muda huo huo bila kufikiria km unayo au huna
Vijana wa siku hizi mnakwama wapi, kazi kulia-lia tu? Yaani kwa kila siku kunakuwa na thread zaidi ya tatu za kulalamika kuombwa fedha na wasichana, Mara kaushadamu, mara chuma ulete.... Haya ni madhara ya kuwa kizazi cha vijana kinachotegemea mali na fedha kutongoza wasichana. Sisi mbona enzi zenu hatukulialia namna hii? Pumbafu kabisa.
 
IMG_0173.jpeg
IMG_0173.jpeg
 
Back
Top Bottom