Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
- Thread starter
- #261
sawa mkuu
sawa mkuu
Nasikia hawa wengi wanauwana wenyewe kwa wenyeweWauza sembe.
Wafanyakazi TBC. Wacheza mpira. Waigizaji. Wavuvi ktk visiwa vya ziwa victoria
Usisahau wafanya massage
Kama kweli kweli kweli hivi1.Mabaamedi na mameneja wao
2.Madereva tax
3.Vinyozi na wasusi wa kiume
4.Madj (except me)
5.Wanamuziki
mwisho wao kama si kufa kwa ukimwi au kuuliwa kwa kufumaniwa basi ni bahati yako. Najua zipo nyingi kwa saiz nimezikumbuka hizo
Meona eehKama kweli kweli kweli hivi
Madereva wa malori nao wamoMeona eeh
Imetajwa hiyo ..Madereva wa malori nao wamo
duh... ndo maana wabunge wanasinziaga mjengoniKila mmoja yuko hatarini, haijalishi kazi anayoifanya...Hata wabunge pale Dodoma wanafumua hivi vidada vinavyojiuza balaa...Hakuna aliye salama labda usitoke ndani.
Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
Hao watatu wa mwanzo umepatia sanaa mzeeMapasta,
wachungaji,
wainjilisti
Madokta
washauri nasaha
askari polisi na ,magereza
wabunge
Rais
TRA
Muuza nguo za Kike
MC
Fundi cherehani
Muuza genge
Bwana Ng'ombe
House Girl.
Muimba kwaya Kanisani
Fundi Decoder
Mwalimu
Wakili
Mapasta,
wachungaji,
wainjilisti
Madokta
washauri nasaha
askari polisi na ,magereza
wabunge
Rais
TRA
Muuza nguo za Kike
MC
Fundi cherehani
Muuza genge
Bwana Ng'ombe
House Girl.
Muimba kwaya Kanisani
Fundi Decoder
Mwalimu
Wakili