Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
- Thread starter
- #341
Hahahaha...afu hao ndo wasambazaj wakubwaWakopeshaji wavyombo mtaani
Hahahaha...afu hao ndo wasambazaj wakubwaWakopeshaji wavyombo mtaani
Ushindwe na ulegeee..Kushabikia yanga
AiseeMakwaya masta
Kuntu!1.Mabaamedi na mameneja wao
2.Madereva tax
3.Vinyozi na wasusi wa kiume
4.Madj (except me)
5.Wanamuziki
mwisho wao kama si kufa kwa ukimwi au kuuliwa kwa kufumaniwa basi ni bahati yako. Najua zipo nyingi kwa saiz nimezikumbuka hizo
hahahaaaaaaaaWachimba madini, wote yaani wa mererani, chunya, tanga, musoma, na kwingineko kunapo machimbo,, hata ya mawe
Hatar sanaKuntu!
mpaka waimba kwaya?Mapasta,
wachungaji,
wainjilisti
Madokta
washauri nasaha
askari polisi na ,magereza
wabunge
Rais
TRA
Muuza nguo za Kike
MC
Fundi cherehani
Muuza genge
Bwana Ng'ombe
House Girl.
Muimba kwaya Kanisani
Fundi Decoder
Mwalimu
Wakili