🤪🤪🤪
Wafanyakazi TBC. Wacheza mpira. Waigizaji. Wavuvi ktk visiwa vya ziwa victoria
Hahaha
Na malectureMtangazaji je?
Mganga wa kienyeji?
Conda na madent?
kwa hiyo ww ndo unaongea na mtoa roho kwamba ww hautakufa ?1.Mabaamedi na mameneja wao
2.Madereva tax
3.Vinyozi na wasusi wa kiume
4.Madj (except me)
5.Wanamuziki
mwisho wao kama si kufa kwa ukimwi au kuuliwa kwa kufumaniwa basi ni bahati yako. Najua zipo nyingi kwa saiz nimezikumbuka hizo
Hahaha....Bora mimi sipoooMapasta,
wachungaji,
wainjilisti
Madokta
washauri nasaha
askari polisi na ,magereza
wabunge
Rais
TRA
Muuza nguo za Kike
MC
Fundi cherehani
Muuza genge
Bwana Ng'ombe
House Girl.
Muimba kwaya Kanisani
Fundi Decoder
Mwalimu
Wakili
AiseeWATENDAJI
Mlevi pia1.Mabaamedi na mameneja wao
2.Madereva tax
3.Vinyozi na wasusi wa kiume
4.Madj (except me)
5.Wanamuziki
mwisho wao kama si kufa kwa ukimwi au kuuliwa kwa kufumaniwa basi ni bahati yako. Najua zipo nyingi kwa saiz nimezikumbuka hizo
Liquid konk maxsterrrrrrrr....aii mama nakuffaaaaaaaMlevi pia
duhWauza uchi