Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Jiwe kaanza kubwatuka tena..Ngoja niongeze popcorn hii movie tamu sana..[emoji23][emoji23]
 
Unataka kumlisha mwenyewe maneno,Rais kasema mwenyewe ni kichaa,wewe ndo umekuja na propaganda kwasababu watu wameshaanza kuongelea kuhusu ukichaa wa Rais wako.
Itawagharimu sana hii kuifuta, sio leo, tunae kichaa
 
Nilisikiliza neno kwa neno hotuba ya Rais JPM huko Ukerewe.

Pamoja na mambo mengi aliyoyahutubia, naona habari ya mjini ni ishu ya kusema alimchagua Waziri Mpina kwa sababu naye ni kichaa kichaa kama yeye.

Kwanza, kiu ya siasa nchini ni dhahiri ipo juu sana. Watu wanatamani kufanya siasa za kejeli na propaganda kwa namna ile ile iliyozoeleka miaka ya nyuma. Hii kiu haitaisha, mpaka pale Rais atakapoamua kuruhusu mikutano ya kisiasa iendelee kwa mtindo uliozoeleka.

Pili, kauli ya ukichaa imechukuliwa out of context. Na ndivyo propaganda zilivyo. Kwa ambaye hakutazama hotuba nzima, ni rahisi kuchotwa na maneno yanayoendelea mtandaoni kwamba Rais 'amekiri' kuwa yeye ni kichaa na anaowateua nao ni vichaa.

Hata hivyo, Usahihi upo kwenye context, kwamba Rais alizungumzia ukichaa kumaanisha kiongozi mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya taifa, akirejea uamuzi wake wa kukamata meli yenye samaki waliovuliwa kiharamu kipindi akiwa waziri wa Uvuvi.

Kama watu wanafanya utani, sawa. Lakini kama kuna wanaoipa uzito hiyo propaganda kwa kuiamini, nayo ni sawa tu. La muhimu, ieleweke kuwa ni propaganda.

Naamini Rais hawezi kupaniki kwenye hilo!
Shika jembe ukalime.Amesema yeye ni kichaa.Period.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo Mpina anayesifiwa ukichaa jana kavaa combat za Jeshi na kachanganya na suruali ya kitambaa
hapo kweli nikamkumbuka na yule wa kisarawe aliyejibu saluti kwa kukaa juu ya pick-up
JKT ni muhimu kwa wote hawa
 
Nilisikiliza neno kwa neno hotuba ya Rais JPM huko Ukerewe.

Pamoja na mambo mengi aliyoyahutubia, naona habari ya mjini ni ishu ya kusema alimchagua Waziri Mpina kwa sababu naye ni kichaa kichaa kama yeye.

Kwanza, kiu ya siasa nchini ni dhahiri ipo juu sana. Watu wanatamani kufanya siasa za kejeli na propaganda kwa namna ile ile iliyozoeleka miaka ya nyuma. Hii kiu haitaisha, mpaka pale Rais atakapoamua kuruhusu mikutano ya kisiasa iendelee kwa mtindo uliozoeleka.

Pili, kauli ya ukichaa imechukuliwa out of context. Na ndivyo propaganda zilivyo. Kwa ambaye hakutazama hotuba nzima, ni rahisi kuchotwa na maneno yanayoendelea mtandaoni kwamba Rais 'amekiri' kuwa yeye ni kichaa na anaowateua nao ni vichaa.

Hata hivyo, Usahihi upo kwenye context, kwamba Rais alizungumzia ukichaa kumaanisha kiongozi mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya taifa, akirejea uamuzi wake wa kukamata meli yenye samaki waliovuliwa kiharamu kipindi akiwa waziri wa Uvuvi.

Kama watu wanafanya utani, sawa. Lakini kama kuna wanaoipa uzito hiyo propaganda kwa kuiamini, nayo ni sawa tu. La muhimu, ieleweke kuwa ni propaganda.

Naamini Rais hawezi kupaniki kwenye hilo!
Wewe sasa unaleta upuuzi gani? usitutoe kwenye reli sisi kama Taifa tunajadili kuongozwa na rais kichaa.
 
Wabongo bhana kuipendekeza kwingi, kusifiasiafia kwingiii mpaka inakera, we don't need context based on his actions i had already concluded he is an insane before yesterday
 
Leo tena akiwa Musoma huko kasema yeye ni "MSHENZI" zaidi ya watakao leta ushenzi kwenye miradi ya maendeleo!
 
Kweli vita ya kiuchumi ni ngumu, ndugu zangu, naomba mniombee.
 
Nilisikiliza neno kwa neno hotuba ya Rais JPM huko Ukerewe.

Pamoja na mambo mengi aliyoyahutubia, naona habari ya mjini ni ishu ya kusema alimchagua Waziri Mpina kwa sababu naye ni kichaa kichaa kama yeye.

Kwanza, kiu ya siasa nchini ni dhahiri ipo juu sana. Watu wanatamani kufanya siasa za kejeli na propaganda kwa namna ile ile iliyozoeleka miaka ya nyuma. Hii kiu haitaisha, mpaka pale Rais atakapoamua kuruhusu mikutano ya kisiasa iendelee kwa mtindo uliozoeleka.

Pili, kauli ya ukichaa imechukuliwa out of context. Na ndivyo propaganda zilivyo. Kwa ambaye hakutazama hotuba nzima, ni rahisi kuchotwa na maneno yanayoendelea mtandaoni kwamba Rais 'amekiri' kuwa yeye ni kichaa na anaowateua nao ni vichaa.

Hata hivyo, Usahihi upo kwenye context, kwamba Rais alizungumzia ukichaa kumaanisha kiongozi mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya taifa, akirejea uamuzi wake wa kukamata meli yenye samaki waliovuliwa kiharamu kipindi akiwa waziri wa Uvuvi.

Kama watu wanafanya utani, sawa. Lakini kama kuna wanaoipa uzito hiyo propaganda kwa kuiamini, nayo ni sawa tu. La muhimu, ieleweke kuwa ni propaganda.

Naamini Rais hawezi kupaniki kwenye hilo!
Shallow analysis, I am sorry, context unaijaji vipi? matendo anayofanya yanashabihiana na kichaa, ndiyo maana watu are banking on this statement! Anayoyafanya , mtu mwenye akili timamu hawezi kuyafanya, sawa na kichaa! Nyerere angelisema neno hilo hakuna ambaye angelilifuatilia! Maana hakuwa na matendo ya kichaa!
 
Nawaambien kuwa makini sana hasa kwa uongozu huu ambao subordinate wanataka kuonekana wanafanya kazi kwa bidii mtaona maajabu ya neno KICHAA, rais hakumaanisha yeye ni KICHAA Ile alitumia tu neno kuonesha kwamba ukiwa serious watu wana
 
Waache tu mkuu!
Sidhani kama hii wiki itaisha tutashuhudia mtu akisimamishwa Mahakamani kwa kutumia hili neno kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Unataka kumlisha mwenyewe maneno,Rais kasema mwenyewe ni kichaa,wewe ndo umekuja na propaganda kwasababu watu wameshaanza kuongelea kuhusu ukichaa wa Rais wako.
Salute
 
Nilisikiliza neno kwa neno hotuba ya Rais JPM huko Ukerewe.

Pamoja na mambo mengi aliyoyahutubia, naona habari ya mjini ni ishu ya kusema alimchagua Waziri Mpina kwa sababu naye ni kichaa kichaa kama yeye.

Kwanza, kiu ya siasa nchini ni dhahiri ipo juu sana. Watu wanatamani kufanya siasa za kejeli na propaganda kwa namna ile ile iliyozoeleka miaka ya nyuma. Hii kiu haitaisha, mpaka pale Rais atakapoamua kuruhusu mikutano ya kisiasa iendelee kwa mtindo uliozoeleka.

Pili, kauli ya ukichaa imechukuliwa out of context. Na ndivyo propaganda zilivyo. Kwa ambaye hakutazama hotuba nzima, ni rahisi kuchotwa na maneno yanayoendelea mtandaoni kwamba Rais 'amekiri' kuwa yeye ni kichaa na anaowateua nao ni vichaa.

Hata hivyo, Usahihi upo kwenye context, kwamba Rais alizungumzia ukichaa kumaanisha kiongozi mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya taifa, akirejea uamuzi wake wa kukamata meli yenye samaki waliovuliwa kiharamu kipindi akiwa waziri wa Uvuvi.
Kama watu wanafanya utani, sawa. Lakini kama kuna wanaoipa uzito hiyo propaganda kwa kuiamini, nayo ni sawa tu. La muhimu, ieleweke kuwa ni propaganda.

Naamini Rais hawezi kupaniki kwenye hilo!
Maamuzi magumu kwa manufaa ya taifa wakti tunalipa mabilioni ya kodi zetu kwa maamuzi yake ya ukichaa? Acha ulevi wa kusifia na kungojea teuzi
 
Hawa vijana wa UFIPA hili suala la MAGUFULI kusema yeye ni kichaa WANATAMBUA kabsa alikuwa anamaana gani ila kwa sababu ya UPUUZI wao na kukataa tamaa juu ya CHAMA CHAO kwenye hili la UKICHAA ndio wanapoona sehemu ya wao kujifariji...ILA UKWELI JUU YA KAULI HII WANAIELEWA
Kichaa ni kichaa tu hamna maana nyingine!
 
Back
Top Bottom