gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,053
HahahahaUnataka kumlisha mwenyewe maneno,Rais kasema mwenyewe ni kichaa,wewe ndo umekuja na propaganda kwasababu watu wameshaanza kuongelea kuhusu ukichaa wa Rais wako.
HahahahaUnataka kumlisha mwenyewe maneno,Rais kasema mwenyewe ni kichaa,wewe ndo umekuja na propaganda kwasababu watu wameshaanza kuongelea kuhusu ukichaa wa Rais wako.
Vipi amekula kinyumenyume tayariHawa vijana wa UFIPA hili suala la MAGUFULI kusema yeye ni kichaa WANATAMBUA kabsa alikuwa anamaana gani ila kwa sababu ya UPUUZI wao na kukataa tamaa juu ya CHAMA CHAO kwenye hili la UKICHAA ndio wanapoona sehemu ya wao kujifariji...ILA UKWELI JUU YA KAULI HII WANAIELEWA
We kichaa Kweli hiyo ni tafsiri yako sisi tumejua Jana kuna mental disorder at the topNilisikiliza neno kwa neno hotuba ya Rais JPM huko Ukerewe.
Pamoja na mambo mengi aliyoyahutubia, naona habari ya mjini ni ishu ya kusema alimchagua Waziri Mpina kwa sababu naye ni kichaa kichaa kama yeye.
Kwanza, kiu ya siasa nchini ni dhahiri ipo juu sana. Watu wanatamani kufanya siasa za kejeli na propaganda kwa namna ile ile iliyozoeleka miaka ya nyuma. Hii kiu haitaisha, mpaka pale Rais atakapoamua kuruhusu mikutano ya kisiasa iendelee kwa mtindo uliozoeleka.
Pili, kauli ya ukichaa imechukuliwa out of context. Na ndivyo propaganda zilivyo. Kwa ambaye hakutazama hotuba nzima, ni rahisi kuchotwa na maneno yanayoendelea mtandaoni kwamba Rais 'amekiri' kuwa yeye ni kichaa na anaowateua nao ni vichaa.
Hata hivyo, Usahihi upo kwenye context, kwamba Rais alizungumzia ukichaa kumaanisha kiongozi mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya taifa, akirejea uamuzi wake wa kukamata meli yenye samaki waliovuliwa kiharamu kipindi akiwa waziri wa Uvuvi.
Kama watu wanafanya utani, sawa. Lakini kama kuna wanaoipa uzito hiyo propaganda kwa kuiamini, nayo ni sawa tu. La muhimu, ieleweke kuwa ni propaganda.
Naamini Rais hawezi kupaniki kwenye hilo!
Hapo ndipo anapo thibitisha kuwa ni kichaa kweli.Travic,
..wengi wamekuwa wakionya kuhusu kauli tata za Raisi Magufuli.
..wengi wameshauri awe makini zaidi na matamshi yake.
..lakini inavyoelekea ushauri huo hauzingatiwi, na mambo yanazidi kuharibika.
..Raisi siyo mgeni ktk siasa, ana uzoefu wa miongo kadhaa ktk kuzungumza na wananchi.
..Pia ana wasaidizi chungu mzima wenye weledi wa kumuandalia hotuba.
..Kwa hiyo Raisi anapotoka hadharani na kutoa kauli zisizopendeza na zenye ukakasi basi anayepaswa kubeba lawama ni yeye mwenyewe.
Sasa hii ndo uthibitisho wa ukichaa wenyewe. Umesema mwenyewe halafu unawafunga watu wanao kutangaza ulicho sema?Waache tu mkuu!
Sidhani kama hii wiki itaisha tutashuhudia mtu akisimamishwa Mahakamani kwa kutumia hili neno kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Umemsoma mleta mada vizuri ukamuelewa!? Au unahemuka tu mkuu!? Rudi ukurasa wa kwanza na usome alichoandika mleta mada kwa umakini...halafu rejea.Sasa hii ndo uthibitisho wa ukichaa wenyewe. Umesema mwenyewe halafu unawafunga watu wanao kutangaza ulicho sema?
Hayo ni ya kwako mkuu, ila Rais mwenyewe kautangazia ulimwengu kuwa yeye ni kichaa sawa na huyo mteule wake!Rais alizungumzia ukichaa kumaanisha kiongozi mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya taifa,
Huoni aibu kumtetea jiwe wakati amekiri yeye ni kichaa ?Nilisikiliza neno kwa neno hotuba ya Rais JPM huko Ukerewe.
Pamoja na mambo mengi aliyoyahutubia, naona habari ya mjini ni ishu ya kusema alimchagua Waziri Mpina kwa sababu naye ni kichaa kichaa kama yeye.
Kwanza, kiu ya siasa nchini ni dhahiri ipo juu sana. Watu wanatamani kufanya siasa za kejeli na propaganda kwa namna ile ile iliyozoeleka miaka ya nyuma. Hii kiu haitaisha, mpaka pale Rais atakapoamua kuruhusu mikutano ya kisiasa iendelee kwa mtindo uliozoeleka.
Pili, kauli ya ukichaa imechukuliwa out of context. Na ndivyo propaganda zilivyo. Kwa ambaye hakutazama hotuba nzima, ni rahisi kuchotwa na maneno yanayoendelea mtandaoni kwamba Rais 'amekiri' kuwa yeye ni kichaa na anaowateua nao ni vichaa.
Hata hivyo, Usahihi upo kwenye context, kwamba Rais alizungumzia ukichaa kumaanisha kiongozi mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya taifa, akirejea uamuzi wake wa kukamata meli yenye samaki waliovuliwa kiharamu kipindi akiwa waziri wa Uvuvi.
Kama watu wanafanya utani, sawa. Lakini kama kuna wanaoipa uzito hiyo propaganda kwa kuiamini, nayo ni sawa tu. La muhimu, ieleweke kuwa ni propaganda.
Naamini Rais hawezi kupaniki kwenye hilo!
Frastresheni ni moja ya visababishi vya ukichaa mkuu!?Kw
Kwani kuna aliepinga kuwa wameelewa kuwa raisi kujiita kichaa nini anamaanisha??maana sio leo mara yakwanza kusema yeyey nikichaa hata alipokuwa bandari alisema yeye kunawakati ana frustrations
Nasikia ana file lake pale milembe. 😂😂😂Mwambieni ameze dawa haraka anakoelekea ni.kuchomoka nduki kwenye.gari kama alivofanya kipindi cha kamorni