Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Kuna siku atajiita mseng.erema. Msaidieni jamani. Au atatoa tusi kubwa kuliko hilo. Ila hatutashangaa kwani keshasema yeye ni kichaa na mshenzi! Hatumlaumu yeye, tumlaumu Mkapa, Kikwete, ccm na inteligensia yote ya nchi kwa kukosa umakini kwa kiasi kikubwa hivi! Ni aibu tupu!
 
ha ha propaganda za kijinga yaani mtu kichaa anakiri mimi ni kichaa anajifananisha na kichaa mwenziwe ambao kwa vitendo vyao vua kkipuuzi wanajulikana ni vichaa hakuna mtu ambaye hajaona jinsi kichaa wa ikulu alivyoharibu hii nchi apelekwe lutindi akapewa huduma ya akili ya kichwa kichaa wetu kuna siku atayafanya ambayo hutakuja hapa JF kupiga propaganda bali utachimba shimo ujifiche acha kutetea kichaa wewe
Sasa all in all, swali ni moja nani kwenye UKAWA kama J PM?

Yule mzee wa monduli mbona mmemuacha anahaishwa na kalanga!
 
Hawa vijana wa UFIPA hili suala la MAGUFULI kusema yeye ni kichaa WANATAMBUA kabsa alikuwa anamaana gani ila kwa sababu ya UPUUZI wao na kukataa tamaa juu ya CHAMA CHAO kwenye hili la UKICHAA ndio wanapoona sehemu ya wao kujifariji...ILA UKWELI JUU YA KAULI HII WANAIELEWA
Vp kama mbowe angesema yeye ni kichaa bado unge comment kwa staili hiyo?Hebu acheni ushabiki wa kishamba.
 
Jiwe alimaanisha yeye ni kichaa kwamba anaweza fanya maamuzi yoyote pasi kuangalia madhara yake au kufata taratibu, hili ni tatizo kubwa sana
 
OF COURSE MAGU HANA UKICHAA WOWOTE, ILA UKWELI NI KWAMBA HAFIKISHIWI TAARIFA....KAMA AMEWEZA KUNUNUA WABUNGE NA MADIWANI WAMONDULI BASI PIA ABADILISHE TIMU YAKE YA WASHAURI. usimguse Lowasa...utakuwa "loh..hasa"!!!!
 
Umeuliza swali zuri Mwana,

Kama unafuatilia vizuri mambo, kipindi cha nyuma ofisi ya DPP ilikumbwa na kashfa ya kupiga deal na wafanyabiashara wakubwa hasa kwenye ishu za serikali.. Mambo ya 10 percent (si unajua hela ya serikali ni kama haina mwenyewe). Watu wanasuka mipango, serikali inashindwa kesi, fidia inatajwa ndefu, fedha inaidhinishwa, watu wanagawana!

Na haya si maneno matupu. Matokeo ya tafiti za miaka yote zinaonyesha Mahakama na Polisi ndiko kunaongoza kwa Rushwa.

Halafu huko kwenye uvuvi mkuu we paache tu!
Tanzania yetu
 
Back
Top Bottom