Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Nilisikiliza neno kwa neno hotuba ya Rais JPM huko Ukerewe.

Pamoja na mambo mengi aliyoyahutubia, naona habari ya mjini ni ishu ya kusema alimchagua Waziri Mpina kwa sababu naye ni kichaa kichaa kama yeye.

Kwanza, kiu ya siasa nchini ni dhahiri ipo juu sana. Watu wanatamani kufanya siasa za kejeli na propaganda kwa namna ile ile iliyozoeleka miaka ya nyuma. Hii kiu haitaisha, mpaka pale Rais atakapoamua kuruhusu mikutano ya kisiasa iendelee kwa mtindo uliozoeleka.

Pili, kauli ya ukichaa imechukuliwa out of context. Na ndivyo propaganda zilivyo. Kwa ambaye hakutazama hotuba nzima, ni rahisi kuchotwa na maneno yanayoendelea mtandaoni kwamba Rais 'amekiri' kuwa yeye ni kichaa na anaowateua nao ni vichaa.

Hata hivyo, Usahihi upo kwenye context, kwamba Rais alizungumzia ukichaa kumaanisha kiongozi mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya taifa, akirejea uamuzi wake wa kukamata meli yenye samaki waliovuliwa kiharamu kipindi akiwa waziri wa Uvuvi.

Kama watu wanafanya utani, sawa. Lakini kama kuna wanaoipa uzito hiyo propaganda kwa kuiamini, nayo ni sawa tu. La muhimu, ieleweke kuwa ni propaganda.

Naamini Rais hawezi kupaniki kwenye hilo!
MkuuTravic, umegusa mule mule. JPM alikuwa anamaanisha kitu ambacho wazungu wanakiita guts, uwezo wa kuthubutu kufanya kitu bila ya kusikiliza maoni yatakuwa vipi.

Kuvunja nyumba zote ambazo zimeshavunjwa tangu awe waziri sio jambo ambalo linahitaji akili ya upole, hata kidogo.

Maamuzi magumu yanahitaji mtu ambaye muda wowote anakunja uso, ukicheka na wabongo ukisikiliza siasa zao za demokrasia na uhuru wa maoni, utajikuta hufanyi kitu.

Nchi zetu za kiafrika kwa uzoefu wa tangu zipate uhuru, hazihitaji mtu wa kuremba, hazihitaji mtu wa kumsikiliza kila mtu.

Ni lazima kichwa kiwe na chembe ya ukichaa ili unachotaka kifanyike kiweze kwenda kwa wakati unaotakiwa.

Muda haumsubiri mtu, muafrika kwa bahati mbaya sana haujui huo ukweli.
 
Nilisikiliza neno kwa neno hotuba ya Rais JPM huko Ukerewe.

Pamoja na mambo mengi aliyoyahutubia, naona habari ya mjini ni ishu ya kusema alimchagua Waziri Mpina kwa sababu naye ni kichaa kichaa kama yeye.

Kwanza, kiu ya siasa nchini ni dhahiri ipo juu sana. Watu wanatamani kufanya siasa za kejeli na propaganda kwa namna ile ile iliyozoeleka miaka ya nyuma. Hii kiu haitaisha, mpaka pale Rais atakapoamua kuruhusu mikutano ya kisiasa iendelee kwa mtindo uliozoeleka.

Pili, kauli ya ukichaa imechukuliwa out of context. Na ndivyo propaganda zilivyo. Kwa ambaye hakutazama hotuba nzima, ni rahisi kuchotwa na maneno yanayoendelea mtandaoni kwamba Rais 'amekiri' kuwa yeye ni kichaa na anaowateua nao ni vichaa.

Hata hivyo, Usahihi upo kwenye context, kwamba Rais alizungumzia ukichaa kumaanisha kiongozi mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya taifa, akirejea uamuzi wake wa kukamata meli yenye samaki waliovuliwa kiharamu kipindi akiwa waziri wa Uvuvi.

Kama watu wanafanya utani, sawa. Lakini kama kuna wanaoipa uzito hiyo propaganda kwa kuiamini, nayo ni sawa tu. La muhimu, ieleweke kuwa ni propaganda.

Naamini Rais hawezi kupaniki kwenye hilo!
hii concept ni rahisi sana kama Rais ni kichaa basi hata aliowachagua nao ni vichaa wenzie na waliompigia kura nao ni vichaa vilevile,hvy hili Taifa lina vichaa wengi sana,kwani ukisikia mtu anaseama yeye ni mchawi tena bila hata kuogopa na mbele za watu basi ujue ana element za uchawi na anaujua uchawi kwa kiasi fulani,hivyo tuache kama lilivyo!natulielewe kama lilivyo tolewa tusiwe wanafiki
 
Nilisikiliza neno kwa neno hotuba ya Rais JPM huko Ukerewe.

Pamoja na mambo mengi aliyoyahutubia, naona habari ya mjini ni ishu ya kusema alimchagua Waziri Mpina kwa sababu naye ni kichaa kichaa kama yeye.

Kwanza, kiu ya siasa nchini ni dhahiri ipo juu sana. Watu wanatamani kufanya siasa za kejeli na propaganda kwa namna ile ile iliyozoeleka miaka ya nyuma. Hii kiu haitaisha, mpaka pale Rais atakapoamua kuruhusu mikutano ya kisiasa iendelee kwa mtindo uliozoeleka.

Pili, kauli ya ukichaa imechukuliwa out of context. Na ndivyo propaganda zilivyo. Kwa ambaye hakutazama hotuba nzima, ni rahisi kuchotwa na maneno yanayoendelea mtandaoni kwamba Rais 'amekiri' kuwa yeye ni kichaa na anaowateua nao ni vichaa.

Hata hivyo, Usahihi upo kwenye context, kwamba Rais alizungumzia ukichaa kumaanisha kiongozi mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya taifa, akirejea uamuzi wake wa kukamata meli yenye samaki waliovuliwa kiharamu kipindi akiwa waziri wa Uvuvi.

Kama watu wanafanya utani, sawa. Lakini kama kuna wanaoipa uzito hiyo propaganda kwa kuiamini, nayo ni sawa tu. La muhimu, ieleweke kuwa ni propaganda.

Naamini Rais hawezi kupaniki kwenye hilo!
Tuangalie tabia ya mtu kichaa ikoje halafu hivi kufanya maamuzi magumu ya faida kwa Taifa lazima uwe na tabia za kichaa? Tangu lini kichaa anajielewa na kujitambua?
 
Mnaanza tena kutusingizia kuwa sie tumesema ili mjipendekeze, yeye amekiri kuwa yeye ni kichaa mkamwambie aache ukichaa wake nchi ni ya kwetu sote. Kichaa mpina alisimama na kufurahi kuitwa kichaa na kichaa mwenzake. mbele ya vichaa kibao.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nilisikiliza neno kwa neno hotuba ya Rais JPM huko Ukerewe.

Pamoja na mambo mengi aliyoyahutubia, naona habari ya mjini ni ishu ya kusema alimchagua Waziri Mpina kwa sababu naye ni kichaa kichaa kama yeye.

Kwanza, kiu ya siasa nchini ni dhahiri ipo juu sana. Watu wanatamani kufanya siasa za kejeli na propaganda kwa namna ile ile iliyozoeleka miaka ya nyuma. Hii kiu haitaisha, mpaka pale Rais atakapoamua kuruhusu mikutano ya kisiasa iendelee kwa mtindo uliozoeleka.

Pili, kauli ya ukichaa imechukuliwa out of context. Na ndivyo propaganda zilivyo. Kwa ambaye hakutazama hotuba nzima, ni rahisi kuchotwa na maneno yanayoendelea mtandaoni kwamba Rais 'amekiri' kuwa yeye ni kichaa na anaowateua nao ni vichaa.


[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] UNA HAKIKA HII NDIO TAFSIRI YA NENO KICHAA
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Hata hivyo, Usahihi upo kwenye context, kwamba Rais alizungumzia ukichaa kumaanisha kiongozi mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya taifa, akirejea uamuzi wake wa kukamata meli yenye samaki waliovuliwa kiharamu kipindi akiwa waziri wa Uvuvi.

Kama watu wanafanya utani, sawa. Lakini kama kuna wanaoipa uzito hiyo propaganda kwa kuiamini, nayo ni sawa tu. La muhimu, ieleweke kuwa ni propaganda.

Naamini Rais hawezi kupaniki kwenye hilo!
 
Mnaanza tena kutusingizia kuwa sie tumesema ili mjipendekeze, yeye amekiri kuwa yeye ni kichaa mkamwambie aache ukichaa wake nchi ni ya kwetu sote. Kichaa mpina alisimama na kufurahi kuitwa kichaa na kichaa mwenzake. mbele ya vichaa kibao.
Kwani alipoondoka Seminari alienda kutibiwa nini? Halafu hakurudi akahamia Lake Secondary school ambayo no private na kumalizia from 1V, alipona yake maradhi?
 
Hawa vijana wa UFIPA hili suala la MAGUFULI kusema yeye ni kichaa WANATAMBUA kabsa alikuwa anamaana gani ila kwa sababu ya UPUUZI wao na kukataa tamaa juu ya CHAMA CHAO kwenye hili la UKICHAA ndio wanapoona sehemu ya wao kujifariji...ILA UKWELI JUU YA KAULI HII WANAIELEWA
Sasa wanapimuita dikteta uchwara kwa nini wanakamtwa na kufunguliwa kesi ikiwa na kauli za ki propaganda hizo zinazotumiwa? Kwa nini wapanic
 
Sasa hao vijana wa ufipa unawaonea bure, hata washamba wenzio walikuwa wanajiita vishtobe walipokuwa wanafika town kwa mara ya kwanza wakifikiri ukiwa kishtobe ndio bonge la mjanja Enzi hizo, Kumbe kishtobe ndio nyie siku hizi mnawaita masita duu.

Hapa kichaa amejitambua na kuanza kutaja wenzake sie tunasubira kwanza labda kuna ambao wamechaguliwa kibaguzi kama mpina au wengine hawajatajwa. tulisema mara nyingi humu jinsi gari linavyokwenda kama sio gari basi dere dishi litakuwa haliko sawa sasa tumekubari tulivyokuwa tunadhani ni sawa. Angemtaja Mama Samia kamchagua sababu ni kichaa watu wasingekubali lakini huyu wa uvuvi mie nakubaliana nae 100% dish limeyumba angekuwa sio kichaa asingefanya anayoyafanya.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
leo huko bunda kasema kama mkandarasi ni mshenzi basi yeye ni mshenzi zaidi yake, kwa kweli nimecheka, jana kichaa, leo mshenzi

!
!
Serious Au Utani? 😳 Kwamba Sio Kichaa Kichaa Tu Lakini Pia Ni Mshenzi Zaidi Ya Huyo Mkandarasi?
Omg Naisubiri Hiyo Clip Aisee. Siamini.
 
Nilisikiliza neno kwa neno hotuba ya Rais JPM huko Ukerewe.

Pamoja na mambo mengi aliyoyahutubia, naona habari ya mjini ni ishu ya kusema alimchagua Waziri Mpina kwa sababu naye ni kichaa kichaa kama yeye.

Kwanza, kiu ya siasa nchini ni dhahiri ipo juu sana. Watu wanatamani kufanya siasa za kejeli na propaganda kwa namna ile ile iliyozoeleka miaka ya nyuma. Hii kiu haitaisha, mpaka pale Rais atakapoamua kuruhusu mikutano ya kisiasa iendelee kwa mtindo uliozoeleka.

Pili, kauli ya ukichaa imechukuliwa out of context. Na ndivyo propaganda zilivyo. Kwa ambaye hakutazama hotuba nzima, ni rahisi kuchotwa na maneno yanayoendelea mtandaoni kwamba Rais 'amekiri' kuwa yeye ni kichaa na anaowateua nao ni vichaa.

Hata hivyo, Usahihi upo kwenye context, kwamba Rais alizungumzia ukichaa kumaanisha kiongozi mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya taifa, akirejea uamuzi wake wa kukamata meli yenye samaki waliovuliwa kiharamu kipindi akiwa waziri wa Uvuvi.

Kama watu wanafanya utani, sawa. Lakini kama kuna wanaoipa uzito hiyo propaganda kwa kuiamini, nayo ni sawa tu. La muhimu, ieleweke kuwa ni propaganda.

Naamini Rais hawezi kupaniki kwenye hilo!
Unatutafsiria kiswahili au aliongea lugha gani?
 
Unataka kumlisha mwenyewe maneno,Rais kasema mwenyewe ni kichaa,wewe ndo umekuja na propaganda kwasababu watu wameshaanza kuongelea kuhusu ukichaa wa Rais wako.
Hahahahaha hii ndio propaganda sasa.
 
Dah!! masikini watanzania wamempa Kichaa Rungu....
 
Mleta mada kwani wewe ndie raisi? uu msemaji wake? huoni kuwa unataka kumharibia? nakushauru chunga mdomo na mikono yako. na huwezi kuwa Msigwa no.2 kabisa katafute kazi nyingine
Siku hizi unaweza kukopa kazi ya Msigwa. Ikiongea sana unapata uteuzi kama Jerry Muro anajitahidi kupata uteuzi, na Musiba naye anajitahidi lakini foleni naona ni ndefu lakini na yeye zamu yake itafika avute sibira
 
Hawa vijana wa UFIPA hili suala la MAGUFULI kusema yeye ni kichaa WANATAMBUA kabsa alikuwa anamaana gani ila kwa sababu ya UPUUZI wao na kukataa tamaa juu ya CHAMA CHAO kwenye hili la UKICHAA ndio wanapoona sehemu ya wao kujifariji...ILA UKWELI JUU YA KAULI HII WANAIELEWA
KWANINI NYIE UVCCM MSIANDAE MAANDAMANO YA KUPONGEZA KAULI DHABITI YA RAIS KUWA YEYE NA ANAYEWATEUA NI VICHAA, MNAWAACHIA BAVICHA WANAPOTOSHA MAANA
 
Nilisikiliza neno kwa neno hotuba ya Rais JPM huko Ukerewe.

Pamoja na mambo mengi aliyoyahutubia, naona habari ya mjini ni ishu ya kusema alimchagua Waziri Mpina kwa sababu naye ni kichaa kichaa kama yeye.

Kwanza, kiu ya siasa nchini ni dhahiri ipo juu sana. Watu wanatamani kufanya siasa za kejeli na propaganda kwa namna ile ile iliyozoeleka miaka ya nyuma. Hii kiu haitaisha, mpaka pale Rais atakapoamua kuruhusu mikutano ya kisiasa iendelee kwa mtindo uliozoeleka.

Pili, kauli ya ukichaa imechukuliwa out of context. Na ndivyo propaganda zilivyo. Kwa ambaye hakutazama hotuba nzima, ni rahisi kuchotwa na maneno yanayoendelea mtandaoni kwamba Rais 'amekiri' kuwa yeye ni kichaa na anaowateua nao ni vichaa.

Hata hivyo, Usahihi upo kwenye context, kwamba Rais alizungumzia ukichaa kumaanisha kiongozi mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya taifa, akirejea uamuzi wake wa kukamata meli yenye samaki waliovuliwa kiharamu kipindi akiwa waziri wa Uvuvi.

Kama watu wanafanya utani, sawa. Lakini kama kuna wanaoipa uzito hiyo propaganda kwa kuiamini, nayo ni sawa tu. La muhimu, ieleweke kuwa ni propaganda.

Naamini Rais hawezi kupaniki kwenye hilo!
Pamoja na yote, ila pia kuna kwa ukweli fulani.
Nisome kwenye nyuzi hizi huku umetulia
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums

Kuwa Kichaa Sio Mpaka Kuokota Makopo!. Jee Tanzania Tuna Vichaa Wengi Kuliko Tunavyojidhania?!. - JamiiForums

Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa kiuchumi? - JamiiForums

P.
 
Back
Top Bottom