Van pierre
Member
- Mar 27, 2011
- 25
- 0
Hongera rais kikwete kwa ukimya wako pamoja na maneno kibao ya matusi na uzushi unayotupiwa na wanasiasa uchwara na mashabiki zao!!AMA KWELI WEWE UMEKOMAA KISIASA NA UNATAMBUA VYEMA UKIBISHANA NA CHIZI NAWE UTAONEKANA CHIZI....