THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
Friends and Enemies...
Sheikh Machachari wa minakasha na makongamano nayeye amevunja ukimya DHIDI ya wanasiasa na wale ambao wamekuwa vinara wa kauli chafu na matusi DHIDI ya Rais Samia.
Sheikh MAZINGE ameendelea kusema kwamba wengine ndani ya nchi hii walikuwa wakimbizi wakaihama nchi pasipo kupenda.
Kuna wengine walishambuliwa na risasi na kuachiwa ulemavu wa Maisha,yeye akawa wa Kwanza mwenye ujasiri wa kukimbia kwenda kumjulia Hali,kumfariji,kumuombea na kumtia moyo.
Kuna wengine walifungiwa akaunt zao za bank Kwa dhulma,lakini Samia kaja na kuzifungulia.
Kuna wengine walikuwa jela miaka mingi Kwa kesi zingine za uzushi lakini Samia kawafungulia.
Uhuru wa kuongea na WA kufanya siasa za mikusanyiko Kwa uhuru halikuwepo,Leo wanaona Hana maana.
Ameendelea kusema kwamba Haki ya kukosoa na siasa ni ya Kila Mtanzania ila inakuaje mtu aache kujenga hoja akimbilie kwenye kashfa na matusi?hiyo ni ishara tosha ya kukosa hoja na kujiamini.
My take: Nampongeza sana sheikh MAZINGE kwa maneno yake ya uzalendo Kwa nchi,hakika Rais Samia ni chaguo la Mungu na kazi yetu kubwa iliyobakia kwetu sisi ni kumuombea Kila aina ya Dua ili mahasidi,wazandiki na wachawi wakae nae mbali.
Sheikh Machachari wa minakasha na makongamano nayeye amevunja ukimya DHIDI ya wanasiasa na wale ambao wamekuwa vinara wa kauli chafu na matusi DHIDI ya Rais Samia.
Sheikh MAZINGE ameendelea kusema kwamba wengine ndani ya nchi hii walikuwa wakimbizi wakaihama nchi pasipo kupenda.
Kuna wengine walishambuliwa na risasi na kuachiwa ulemavu wa Maisha,yeye akawa wa Kwanza mwenye ujasiri wa kukimbia kwenda kumjulia Hali,kumfariji,kumuombea na kumtia moyo.
Kuna wengine walifungiwa akaunt zao za bank Kwa dhulma,lakini Samia kaja na kuzifungulia.
Kuna wengine walikuwa jela miaka mingi Kwa kesi zingine za uzushi lakini Samia kawafungulia.
Uhuru wa kuongea na WA kufanya siasa za mikusanyiko Kwa uhuru halikuwepo,Leo wanaona Hana maana.
Ameendelea kusema kwamba Haki ya kukosoa na siasa ni ya Kila Mtanzania ila inakuaje mtu aache kujenga hoja akimbilie kwenye kashfa na matusi?hiyo ni ishara tosha ya kukosa hoja na kujiamini.
My take: Nampongeza sana sheikh MAZINGE kwa maneno yake ya uzalendo Kwa nchi,hakika Rais Samia ni chaguo la Mungu na kazi yetu kubwa iliyobakia kwetu sisi ni kumuombea Kila aina ya Dua ili mahasidi,wazandiki na wachawi wakae nae mbali.