Ukweli gazeti la Rai la leo tarehe 26Aug2010 limeniboa sana. Kwamba ni mwendawazimu tu ndie atakayempigia kura upinzani. Hoja yenyewe sio ya kweli zaidi ya upotoshaji. Kwamba wapinzani wameshashindwa. Kisa hawana wabunge wa kutosha. Upotoshaji. Uingereza Labour walikuwa na wabunge wachache wakaunda mseto, ipo hapa kwetu na mataifa mengi yaliyoendelea. Lakini sishangai kwa kuwa wanaoandikia gazeti hili ni vibaraka wa Rostam Aziz, mtu liyekuja kuchuma kiharamu TZ