Ukiachwa achika

hahahahahhaaa.....nimekusoma kaka. ngoja nizidi kukazia maamuzi yangu,maana nilihisi labda nakosea kukaa pembeni..
hilo mkuu hakika hata kipofu analiona.
its TOTALY WASTAGE OF TIME.
sio tu time pamoja na resources
 
hahahahahhaaa.....nimekusoma kaka. ngoja nizidi kukazia maamuzi yangu,maana nilihisi labda nakosea kukaa pembeni..
mkuu naona kukaa pembeni you are still close to her, unaonaje ukiondoka kabisaaaaa..😀😀😀
 
Na kweli..ndio maana nikasema penye upendo wa kweli hakuna mambo kama hayo,.hutokea kwa dharula...japo kuna wengine hujifanyisha busy ili usimuone wa kitaa😅
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…