RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,424
We naye utakuwa ni Mnukaji. Full stop . Povu kubwa la OMOHali yangu ya mahusiano ni njema na yana Afya tele ,yanayonisibu ni mengi ila sio ya udhalilishaji kiasi cha kuona wanawake ndio sehemu ya matusi yenu,mwanamke asipokua mama yako basi aweza kuwa mpenzi wako,Dada yako, shangazi yako au hata rafiki yako! Sasa ikiwa kila anayekuja anakuja na neno kunuka jua humdharirishi yeye tu bali umewatusi hata hao ndugu zako!