Mkuu meningitis tamaa ya urais ya hao jamaa wawili imeshawaweka pabaya bila wenyewe kujielewa.
Umeongea kama mkatoliki au mchambuzi?
Hapo upo sawa hata mi mkatoliki sijafurahishwa na kitendo cha pengo kutukanwa n ukawa wajue wakatoliki ni wingi na wanasikiliza viongozi wao wa dini so wakifanya ujinga kwa hilo kweli watapoteza
Hoja ya hapa sio kumsikiliza au kutomsikiliza Pengo.Hoja ni matusi dhidi ya Pengo na sympath ya wanasiasa kwa Gwajima.Acheni ujinga nami ni mkatoliki, nasi hatumsikilizi pengo bali baraza la maaskofu Tanzania ambapo pengo ni mjumbe tu sio mwenezi.
Hoja ya hapa sio kumsikiliza au kutomsikiliza Pengo.Hoja ni matusi dhidi ya Pengo na sympath ya wanasiasa kwa Gwajima.
Gwajima amesababisha mchanganyo wa kihisia kwa jamii ya kikatoliki na hivyo sio muda muafaka kwa viongozi wa kisiasa kuwa au kutokuwa upande wake kwa sasa.
hapo upo sawa hata mi mkatoliki sijafurahishwa na kitendo cha pengo kutukanwa n ukawa wajue wakatoliki ni wingi na wanasikiliza viongozi wao wa dini so wakifanya ujinga kwa hilo kweli watapoteza
Pengo ndie Mkuu wa Kanisa Katoliki kwa hapa Tanzania!. Anatokea mtu aliyekuwa Mkatoliki, akaasi na kuanzisha kijikanisa chake cha uchochoroni, kisha amtukane Mkuu wa Kanisa Katoliki, kisha anatokea memba mpya wa jf na kumsifu huyo mtukanaji kuwa ni shujaa!. Karibu jeiefu!.Gwajima kweli ni shujaa, mpiganaji, msemakweli bila kuogopa, bora ukamuacha kuliko kumchokoza binafsi nampenda na ni mfano wa kuigwa swala la kutumia maneno ambayo hata muhusika hayamuumi. It's shame kabisa.
Mkuu wangejua madhara wasinge toka na ilani zenye ahadi hovyo kama zenye kufarakanisha jamiiWewe ndio mbumbumbu kbs CCM wapo kimya kwenye hili maana wanajua madhara yake......
Mkuu usitufanye sisi ni watoto na hatujasikia kilichosemwa na Gwajima.
Ukawa wangejituliza vyumbani na kuacha jambo hili lipite kimya kimya.kumtembelea Gwajima ina maana mnakubaliana na yote aliyosema Gwajima kitu ambacho si sahihi.
Tusiwe wanafiki.
Unapaswa kutukanwa matusi yote yanayojulikana hapa duniani kwani nani hajasikia wakati gwajima anamtukana pengo kwenda zako na mhuni wako gwajima.Mnakuza mambo na kumuwekea maneno mdomoni mwa Mtu...
Wote tulimsikia Gwajima, akieleza kumuheshimu Ngalikumtwa.
Sasa huo ugomvi wa Catholic na Gwajima unatokea wapi??
Ngalikumtwa ni nani?
Mkuu hii thread yako imejaa hisia tu na hujaonyesha mashiko yoyote zaidi ya kutaka kutia hofu ambayo kimsingi haipo...