UKAWA mnafanya kosa la kiprotokali

UKAWA mnafanya kosa la kiprotokali

Pengo ni MTU wa kupuuzwa tu, hajitambui na yupo kuitumikia serikali ya kifisadi
 
Kama huelewi ni bora ukaenda kanisani ukaelezwa sio kupanic, cadinal ni daraja tu la kiaskofu, na si kwamba yeye ndie mkuu wa kanisa katolic tanzania, yupo Askofu ambae ndiye mkuu wa kanisa na ndiye mwenyekiti wa TEC, Pengo yeye ni askofu mkuu wa jimbo la Dar, tafadhali sana tafuta majibu kanisani kwa sasa ni hayo tu, na ni kweli Macadinal ndiyo wanamchagua Papa lakini sio kwamba wao ndio wakuu wa maaskofu nchini kwao, hata Pengo askofu wake kiongozi ni huyo niliyomtaja hapo juu, ndio mwenye kusign tamko la TEC sio Pengo. nipo tayari kusahihishwa kwani haba Duniani kila siku tunajifunza.

Hivi kwa nini papa ni kiongozi wa kanisa katoliki duniani?
 
Hivi kwa nini papa ni kiongozi wa kanisa katoliki duniani?

Ndugu yangu nenda kaulize kanisani hiyo logic unayotaka kuijenga haipo hivyo, ngoja nikuulize na mimi unawafahamu wasaidizi wa papa!? ambao wapo juu ya macadinal! je ni macadinal ama Maaskofu! ukijibu hilo tu ndio utakuwa umeelewa.
 
Hii protocol inayozungumzwa hapa ni ipi? Gwajima ana mapungufu yake lakini swala la ugonjwa sio la kuchagua. Walioenda kumjulia Hali Gwajima walienda kama wanadamu au watanzania wa kawaida kumjulia hali mgonjwa ambao ni utamaduni wetu. Kwani walienda kuhudhuria mkutano wa kisiasa au kampeni? Tuwe waungwana sio kukuza jambo ambalo halipo.
 
Acha ujinga wewe, alisalitiwa Simba wa Yuda na Petro ambaye Yesu alisema atajenga ngome juu yake. Unajua wewe unaufinyu wa akili, ba una udhehebu ndani yako nachelewa kuamini kuwa umetumwa. Slaa na Lipumba ni watanzania ambao wameenda kumuangalia mgonjwa hospitali sasa Ukawa unakujaje au Ukatoliki wako unahusikaje? Mboba DC Makonda ameenda kumuangalia haujaongelea acha kujitekenya.
 
Acha ujinga wewe, alisalitiwa Simba wa Yuda na Petro ambaye Yesu alisema atajenga ngome juu yake. Unajua wewe unaufinyu wa akili, ba una udhehebu ndani yako nachelewa kuamini kuwa umetumwa. Slaa na Lipumba ni watanzania ambao wameenda kumuangalia mgonjwa hospitali sasa Ukawa unakujaje au Ukatoliki wako unahusikaje? Mboba DC Makonda ameenda kumuangalia haujaongelea acha kujitekenya.

Tabia za Makonda ndio ile ile ya Gwajima !
 
Hapana mimi nakataa kuhusisha ugonjwa wa mtu, kwenda kuangaliwa hospital na mambo ya siasa. Kama ndio hivyo itabidi tuhisi kuw nyuma ya pengo kuna kitu.
 
pengo alichemka na gwajima alichemka japo gwajima alikuwa na hoja kuntu. pengo ni msaliti tu
 
Back
Top Bottom