UKAWA mnafanya kosa la kiprotokali

UKAWA mnafanya kosa la kiprotokali

Hapo upo sawa hata mi mkatoliki sijafurahishwa na kitendo cha pengo kutukanwa n ukawa wajue wakatoliki ni wingi na wanasikiliza viongozi wao wa dini so wakifanya ujinga kwa hilo kweli watapoteza

Acheni michango ya kinafiki jamani, Mh. Komba kamtukana Warioba kuhusu hili hili suala la katiba na siku aliyokufa wanasiasa wote toka waupinzani mpaka wa chama tawala wamejazana. Mbona hamkumkataza mtu yoyote kwenda, ukiachia kwamba Pengo ni kiongozi wa dini hebu nipe tufauti yake kwa heshima kwenye nchi hii na Warioba. Kila mtu anajua Warioba aliwahi kuwa nani kwenye nchi hii achia mbali umri wake na Komba alivurumisha matusi bila mtu yoyote kujali. Hizi post zinaletwa na watu wa mlengo fulani wenye malengo fulani tena kutoka kile chama kichovu chenye kuishi kwa propaganda. Mnajifanya waromani nani kawateua kuwasema waromani? Acheni hizo nyie. Kwa hiyo kwakuwa Gwaijima kamkashifu Pengo basi asitembelewe na Ukawa lakini akifa ndio mnaenda na makamera msibani kutafut kura kwa wananchi.
 
Pia akumbuke kwamba Gwajima alisema wazi kuwa kanisa katoliki ndio kanisa Mama la makanisa yote duniani, hivyo analikubali na kuliheshimu

Hawa wapuuzi wanatumika kututoa kwenye hoja ya msingi...
Wanajua kabisa kuwa hamna mwenye shida na kanisa la Catholic
 
Mkuu usitufanye sisi ni watoto na hatujasikia kilichosemwa na Gwajima.

Ukawa wangejituliza vyumbani na kuacha jambo hili lipite kimya kimya.kumtembelea Gwajima ina maana mnakubaliana na yote aliyosema Gwajima kitu ambacho si sahihi.

Tusiwe wanafiki.

Pasco wewe kuanzia lini unaikubali ukawa kiasi kile, Gwajima hajadhuriwa na Pengo, amedhuriwa na vyombo vya dola, Pengo hana Nongwa na Gwajima. Dr. Slaa na Lipumba wangemtembelea hata Pengo kama angekuwa ameuguwa na Kulazwa. Mnapotaka Viongozi wa Ukawa wasimtembelee Gwajima huku mkimtaja Pengo mnamaanisha madhila yaliyomkuta Gwajima yamefanywa na Pengo au yamefanywa kumridhisha Pengo? Acheni unafiki wenu.
 
Mkuu wewe kama si mkatoliki basi hujui ni kwa nini wewe si mkatoliki, kwa kifupi waprotestant waliupinga ukatoliki miongoni mwa sababu kuu ni waumini kuzuiwa kusoma bibli, walipaswa/wanapaswa kumsikiliza padre na wao kusoma misale.Kwa wale wanaosoma biblia watakubaliana nami kuwa Yesu alisema "mkinionea haya nami nitawaonea haya kwenye ufalme wangu"Maneno ya Pengo kwa waumini wake hayakuwa na mustakabali mwema kiroho (ametafsirika kiroho kuwafanyia biashara wakatoliki kwa ccm) Yesu alipinduapindua meza za wafanyabiasha na kuyatimuatimua mabanda ya njiwa alipowakuta wanafanya biashara hekaluni (kitendo kinamuhusu Pengo)Kwa maana ya kutokumuonea aibu Yesu, yale maneno sahihi aliyoyatamka Gwajima kumlenga Pengo yalipaswa kuambatana na hatua kali zaidi ikiwa ni pamoja na kumuita shaurini mbele ya baraza la jumuia ya maaskofu (kama ipo)Yesu haonewi aibu inapokuja swala la kuchunga kondoo zake.
acheni unafiki kwa kujiona kuwa nyie tu ndio mko sahihi kuhusu imani,Mungu anasema kazi ya kuhukumu haimuhusu binadamu hilo baraza linatoa wapi mamlaka ya kwenda kumuhukumu Pengo...tatizo imani zenu za ukawa mnalazimisha zihubiriwe madhabahuni kwa uroho wenu wa madaraka hovyo kabisa.eti someni katiba pendekezwa muielewe kisha mkaipigie kura ya hapana,sasa kuna haja gani ya kujisumbua kusoma kama mlishatupangia cha kufanya hiyo kusoma si ni westeji of taimu?Pengo ameongea ukweli,SOMA,IELEWE KISHA FANYA MAAMUZI KWA KUONGOZWA NA DHAMIRA YAKO NA IMANI YAKO!!!!!hajasema kisha pigeni kura za ndio kama ccm wanavyahamasisha,sasa hiyo kutumiwa na ccm kunatoka wapi?hivi kwa mfano next election inapita waraka kama huo ukiwataka wakristu labda wampigie kura Lowassa mtaufurahia kama mnavyoufurahia huu wa sasa?si utakuwa unawaelekeza cha kufanya kama ilivyo kwa huu?au coz huu uko in favour ya UKAWA ndio maana wafuasi wa ukawa wote mnatumika kumshambulia Pengo?Fanyeni siasa zenu za kijinga huko huko kwenye viwanja vya siasa tuachieni MADHABAHU yetu msiyanajisi kwa ukibaraka wenu kwa matapeli wa kisiasa,na tumewagundua waliomtuma gwajima kuropoka aliyoropoka maana wanapanga foleni kumpongeza pale TMJ!!!!MIMI NI MKATOLIKI NINAYEJITAMBUA na sikubaliani na katiba pendekezwa coz haihitaji nguvu kiasi hiko kutambua kuwa imepatikana katika mazingira yasiyofaa kwa mustakabali wa nchi yetu na hayajibu mahitaji muhimu ya kiutawala na kiuongozi kwa nchi hii zaidi ya utapeli na ulaghai na pia sikuhitaji tamko la maaskofu kuliona hilo(tamko ambalo halikuwa na busaara na ni kansa mbaya sana kwa nchi yetu yenye ubaguzi wa kiimani).KUMBUKENI KUWA KATIKA HAO WAKRISTU MNAOWAAMRISHA KUNA WANACHAMA WA VYAMA MBALIMBALI VYA SIASA AND SO MISIMAMO TOFAUTI KWA JAMBO HUSIKA,au otherwise kama mmekwishajiridhisha kuwa wakristu wote ni wafuasi wa upinzani(kasoro Pengo mnayemlaani kwa kila neno baya).kwa sababu kwa akili ndogo tu huwezi kukataa kuwa kama msimamo wa ccm ni kura ya ndiyo na miongoni mwa wakristu wapo pia ccm bila shaka sio ajabu wakasimamia msimamo wa chama chao,je mnataka kuwashurutisha waseme hapana coz mmewachagulia cha kusema(as if nyie ni Mungu kwamba wakienda against u wataenda motoni).zama za kutishana kwa kutumia imani zishapitwa na wakati,eti usipofuata matakwa ya maaskofu basi wewe umepotoka katika imani,wewe ni wa motoni tu,hovyo kabisa.NANI ALIYEKWAMBIA KUWA ASKOFU ANA TIKENI YANGU YA KWENDA MBINGUNI?TIKETI YANGU NINAYO MIMI MWENYEWE KUPITIA IMANI YANGU NA MATENDO YANGU KWA KUONGOZWA NA BIBLIA TAKATIFU KAMA MKIRISTU NA SIO MTU BINAFSI!!!Mwalimu anapokuja kukufundisha ni juu yako kumsikiliza na kumwelewa,mtihani unaenda kufanya mwenyewe na majibu unatoa kulingana na ulivyoelewa wewe sio alivyoelewa mwalimu wako!!!THINK
 
labda ni kiswahili kina shida ila naomba kujua matusi hayo yakoje kwa lugha yetu kusema ni kama mtoto kafalishwa pepasy anapelekwa asiko jua anafanya asiyo jua ndiyo matusi yenyewe pengo ameshindwa kujitambua yeye
ninani na anacho tetea nini wakati wa bunge la katiba jukwaa la kikristo walisema maoni ya wananchi ya eshimiwe wakaunga mkono serekali tatu baada tamko lao pengo akajitoza bila kuangalia anamtetea na anamwaribia nani kama mtoto akasema yeye anaunga mkono serekali mbili.
Juzi tena jukwaa lile lile wasema wanapiga kura ya hapana na kuwatangazia waumini wao wapige kura ya hapana siku ileile madhabau na alutare zinatangazia waumini kupiga kura ya hapana ya katiba pendekezwa yeye akaibuka tena akasema wasilekese nini cha kufanya kama mtoto asiejua anacho fanya akasahau viongozi wa chama na serekali kila nafasi wanayopata wanashawishi watanzania ambao wengi wao hawajui mbele wala nyuma ya katiba kwamba wapige kura ya ndiyo hili hamlioni eti gwajima ni mdogo mesahau watehawa in watumishi mkisahau mmoja akikosea antakiwa akemewe mbele za watu ili wengine waogope.
Paulo aliekuwa mdogo kiuduma na kiumri alimkaripia petrol akikuwa kiongozi wa kanisa mbele watu na petro akaona kosa lake akajirekebisha hakusema anamsamehe bali akikuja kusifia mafundisho ya paulo tuache kuichafua tiba aliotaoa mtumiahi wa mungu
sio matusi eeeeh???basi ni hivi, mama yako mzazi na baba yako mzazi ni wajinga kuzaa mjinga kama wewe tena akaanza kwa kukuvalisha pempaz ulivyokuwa unaji.ny.ea ndugu zako wote wapumbavu kulea mpumbavu kama wewe na huyo sijui mumeo ni kilaza kukubali kuwa na mshenzi mpumbavu mjinga kilaza kama wewe na mambo mengine kama hayo..........si umesema sio matusi?kichwa maji wewe!!!!!!
 
Najitambulisha kama mkatoliki kindakindaki...na sio mara ya kwanza kufanya hivi.niliwahi kufanya hivi hapo awali na nilimtuhumu Askofu Pengo kwa tamko lake kuhusiana na mashambulizi dhidi ya mapadre wetu.inawezekana kipindi kile sikumuelewa Kadinali Pengo...nilikurupuka kumtuhumu kama alivyokurupuka Gwajima.

Nilimtuhumu kwa kupingana na msimamo wa wengi dhidi ya nani muhusika wa mashambulizi yale.nilimtuhumu kwa kutoelekeza wakatoliki tufanye nini dhidi ya ufirauni waliofanyiwa mapadre na waumini wa Kanisa katoliki,nilikasirika na kumuona ni msaliti na anasimama na serikali inayotuudhi!

Mambo yalivyoendelea nilijikuta naanza kuelewa zaidi kauli za kadinali Pengo na kuziona ni sahihi na zinazingatia ukweli au uchunguzi wa mambo.

Ndio maana kwa kauli hii ya juzi sikutaka kukurupuka.

Nimeanzisha thread zipatazo mbili kuhusu sakata na kauli ya hivi karibuni ya kadinali Pengo lengo ni kujua uhalisia na ukweli wa kile alichokisema Askofu Pengo..zote zimeishia kapuni.

madhumuni ya uzi huu ni kuwatahadharisha Ukawa juu ya kukurupuka!

Nawasihi na kuwatahadharisha Ukawa juu ya kumdharau Pengo kisa porojo na matusi ya Gwajima.

Nawatahadharisha Ukawa kutojifungamanisha na Gwajima mtu ambaye amewakosea adabu wakatoliki ...hakuna mkatoliki anayefurahishwa na matusi dhidi ya Kadinali Pengo na haitatokea kamwe hata kama angeshikwa ugoni!

Ukawa jihadharini sana!hapa ndipo mtakapopoteza!

Nawasilisha kwa uchungu!

Mimi pia ni mkatoliki sijafurahishwa na matusi ya Gwajima kwa Pengo lakini pia sijaona kosa la UKAWA kwenda kumtembelea Gwajima akiwa hospital anaumwa, acheni propaganda zenu mbona Mkuu wa wilaya ya kinondoni ameenda kwani nae ni UKAWA? simuungi mkono Gwajima na matusi yake lakini sio sababu ya kutomsamehe na kwenda kumjulia hali by the way ata Mwadhama Kadinali Pengo kaisha mtangazia msamaha hizo chuki mnazotaka kuziendeleza hazina tija yoyote kwenye jamii yetu.
 
Mimi pia ni mkatoliki sijafurahishwa na matusi ya Gwajima kwa Pengo lakini pia sijaona kosa la UKAWA kwenda kumtembelea Gwajima akiwa hospital anaumwa, acheni propaganda zenu mbona Mkuu wa wilaya ya kinondoni ameenda kwani nae ni UKAWA? simuungi mkono Gwajima na matusi yake lakini sio sababu ya kutomsamehe na kwenda kumjulia hali by the way ata Mwadhama Kadinali Pengo kaisha mtangazia msamaha hizo chuki mnazotaka kuziendeleza hazina tija yoyote kwenye jamii yetu.

Tunaambiwa hata Pengo mwenyewe anaenda kumuona Gwajima hospitali.
 
acheni unafiki kwa kujiona kuwa nyie tu ndio mko sahihi kuhusu imani,Mungu anasema kazi ya kuhukumu haimuhusu binadamu hilo baraza linatoa wapi mamlaka ya kwenda kumuhukumu Pengo...tatizo imani zenu za ukawa mnalazimisha zihubiriwe madhabahuni kwa uroho wenu wa madaraka hovyo kabisa.eti someni katiba pendekezwa muielewe kisha mkaipigie kura ya hapana,sasa kuna haja gani ya kujisumbua kusoma kama mlishatupangia cha kufanya hiyo kusoma si ni westeji of taimu?Pengo ameongea ukweli,SOMA,IELEWE KISHA FANYA MAAMUZI KWA KUONGOZWA NA DHAMIRA YAKO NA IMANI YAKO!!!!!hajasema kisha pigeni kura za ndio kama ccm wanavyahamasisha,sasa hiyo kutumiwa na ccm kunatoka wapi?hivi kwa mfano next election inapita waraka kama huo ukiwataka wakristu labda wampigie kura Lowassa mtaufurahia kama mnavyoufurahia huu wa sasa?si utakuwa unawaelekeza cha kufanya kama ilivyo kwa huu?au coz huu uko in favour ya UKAWA ndio maana wafuasi wa ukawa wote mnatumika kumshambulia Pengo?Fanyeni siasa zenu za kijinga huko huko kwenye viwanja vya siasa tuachieni MADHABAHU yetu msiyanajisi kwa ukibaraka wenu kwa matapeli wa kisiasa,na tumewagundua waliomtuma gwajima kuropoka aliyoropoka maana wanapanga foleni kumpongeza pale TMJ!!!!MIMI NI MKATOLIKI NINAYEJITAMBUA na sikubaliani na katiba pendekezwa coz haihitaji nguvu kiasi hiko kutambua kuwa imepatikana katika mazingira yasiyofaa kwa mustakabali wa nchi yetu na hayajibu mahitaji muhimu ya kiutawala na kiuongozi kwa nchi hii zaidi ya utapeli na ulaghai na pia sikuhitaji tamko la maaskofu kuliona hilo(tamko ambalo halikuwa na busaara na ni kansa mbaya sana kwa nchi yetu yenye ubaguzi wa kiimani).KUMBUKENI KUWA KATIKA HAO WAKRISTU MNAOWAAMRISHA KUNA WANACHAMA WA VYAMA MBALIMBALI VYA SIASA AND SO MISIMAMO TOFAUTI KWA JAMBO HUSIKA,au otherwise kama mmekwishajiridhisha kuwa wakristu wote ni wafuasi wa upinzani(kasoro Pengo mnayemlaani kwa kila neno baya).kwa sababu kwa akili ndogo tu huwezi kukataa kuwa kama msimamo wa ccm ni kura ya ndiyo na miongoni mwa wakristu wapo pia ccm bila shaka sio ajabu wakasimamia msimamo wa chama chao,je mnataka kuwashurutisha waseme hapana coz mmewachagulia cha kusema(as if nyie ni Mungu kwamba wakienda against u wataenda motoni).zama za kutishana kwa kutumia imani zishapitwa na wakati,eti usipofuata matakwa ya maaskofu basi wewe umepotoka katika imani,wewe ni wa motoni tu,hovyo kabisa.NANI ALIYEKWAMBIA KUWA ASKOFU ANA TIKENI YANGU YA KWENDA MBINGUNI?TIKETI YANGU NINAYO MIMI MWENYEWE KUPITIA IMANI YANGU NA MATENDO YANGU KWA KUONGOZWA NA BIBLIA TAKATIFU KAMA MKIRISTU NA SIO MTU BINAFSI!!!Mwalimu anapokuja kukufundisha ni juu yako kumsikiliza na kumwelewa,mtihani unaenda kufanya mwenyewe na majibu unatoa kulingana na ulivyoelewa wewe sio alivyoelewa mwalimu wako!!!THINK

Ni afadhali ukiri kuwa hujui kitu, unadhani unaiponya nafsi yako kumbe unaiangamiza kabisa!!!! HUKUSOMA WEWE IMEANDIKWA "MTAKACHOKIFUNGIA DUNIANI NA MBINGUNI KIMEFUNGIWA"? Ni nini hiyo basi!!! Ya nini kubeba bango la ujinga katikati ya wajinga!!!! Mamlaka ya hukumu tunayo, hatuna mamlaka ya kuadhibu tu. (yaani kusema hili ni kosa mamlaka hayo tunayo 100%)
Unaweza kusamehewa manake wakatoliki mnasomewa biblia na padre, wenzenu wanaisoma wao wenyewe hata kama somo linasomwa kanisani nao wanafuatisha kwenye biblia zao. Sasa wewe umezoea kusomewa hiyo biblia na Pengo unawezaje kuonyeshwa mamlaka uliyonayo kama biblia inavyoonysha????!!!
 
Najitambulisha kama mkatoliki kindakindaki...na sio mara ya kwanza kufanya hivi.niliwahi kufanya hivi hapo awali na nilimtuhumu Askofu Pengo kwa tamko lake kuhusiana na mashambulizi dhidi ya mapadre wetu.inawezekana kipindi kile sikumuelewa Kadinali Pengo...nilikurupuka kumtuhumu kama alivyokurupuka Gwajima.

Nilimtuhumu kwa kupingana na msimamo wa wengi dhidi ya nani muhusika wa mashambulizi yale.nilimtuhumu kwa kutoelekeza wakatoliki tufanye nini dhidi ya ufirauni waliofanyiwa mapadre na waumini wa Kanisa katoliki,nilikasirika na kumuona ni msaliti na anasimama na serikali inayotuudhi!

Mambo yalivyoendelea nilijikuta naanza kuelewa zaidi kauli za kadinali Pengo na kuziona ni sahihi na zinazingatia ukweli au uchunguzi wa mambo.

Ndio maana kwa kauli hii ya juzi sikutaka kukurupuka.

Nimeanzisha thread zipatazo mbili kuhusu sakata na kauli ya hivi karibuni ya kadinali Pengo lengo ni kujua uhalisia na ukweli wa kile alichokisema Askofu Pengo..zote zimeishia kapuni.

madhumuni ya uzi huu ni kuwatahadharisha Ukawa juu ya kukurupuka!

Nawasihi na kuwatahadharisha Ukawa juu ya kumdharau Pengo kisa porojo na matusi ya Gwajima.

Nawatahadharisha Ukawa kutojifungamanisha na Gwajima mtu ambaye amewakosea adabu wakatoliki ...hakuna mkatoliki anayefurahishwa na matusi dhidi ya Kadinali Pengo na haitatokea kamwe hata kama angeshikwa ugoni!

Ukawa jihadharini sana!hapa ndipo mtakapopoteza!

Nawasilisha kwa uchungu!

Kwenda kumuona mgonjwa sio kosa.hata pengo akipata msala tutaenda kumuona siyo kama mkatoliki bali kama kiongozi
 
Najitambulisha kama mkatoliki kindakindaki...na sio mara ya kwanza kufanya hivi.niliwahi kufanya hivi hapo awali na nilimtuhumu Askofu Pengo kwa tamko lake kuhusiana na mashambulizi dhidi ya mapadre wetu.inawezekana kipindi kile sikumuelewa Kadinali Pengo...nilikurupuka kumtuhumu kama alivyokurupuka Gwajima.

Nilimtuhumu kwa kupingana na msimamo wa wengi dhidi ya nani muhusika wa mashambulizi yale.nilimtuhumu kwa kutoelekeza wakatoliki tufanye nini dhidi ya ufirauni waliofanyiwa mapadre na waumini wa Kanisa katoliki,nilikasirika na kumuona ni msaliti na anasimama na serikali inayotuudhi!

Mambo yalivyoendelea nilijikuta naanza kuelewa zaidi kauli za kadinali Pengo na kuziona ni sahihi na zinazingatia ukweli au uchunguzi wa mambo.

Ndio maana kwa kauli hii ya juzi sikutaka kukurupuka.

Nimeanzisha thread zipatazo mbili kuhusu sakata na kauli ya hivi karibuni ya kadinali Pengo lengo ni kujua uhalisia na ukweli wa kile alichokisema Askofu Pengo..zote zimeishia kapuni.

madhumuni ya uzi huu ni kuwatahadharisha Ukawa juu ya kukurupuka!

Nawasihi na kuwatahadharisha Ukawa juu ya kumdharau Pengo kisa porojo na matusi ya Gwajima.

Nawatahadharisha Ukawa kutojifungamanisha na Gwajima mtu ambaye amewakosea adabu wakatoliki ...hakuna mkatoliki anayefurahishwa na matusi dhidi ya Kadinali Pengo na haitatokea kamwe hata kama angeshikwa ugoni!

Ukawa jihadharini sana!hapa ndipo mtakapopoteza!

Nawasilisha kwa uchungu!

Mkuu UKAWA wamesha poteza sifa za kuungwa mkono na wakatoliki walio wengi, kwa kiu yao ya kisiasa na kutafuta uungwaji mkono na yeyote yule, wapo tayari kumshabikia hata mwendawazimu na kumuona ni mmoja wao
 
Ngalikumtwa ndiye mkuu wa kanisa TZ, ila pia Gwajima alijikwaa kumtusi Pengo, angetumia busara kufikisha ujumbe leo tungekuwa tunaongelea mengine, lakini mimi sijaona sehemu ambapo UKAWA wamemuunga mkono Gwajima, inawezekana ni mahusiano Binafsi ya Dr slaa, Prof Lipumba na hata makonda ndiyo yamewafanya hawa jamaa wamtembelee Gwajima.
 
Ni afadhali ukiri kuwa hujui kitu, unadhani unaiponya nafsi yako kumbe unaiangamiza kabisa!!!! HUKUSOMA WEWE IMEANDIKWA "MTAKACHOKIFUNGIA DUNIANI NA MBINGUNI KIMEFUNGIWA"? Ni nini hiyo basi!!! Ya nini kubeba bango la ujinga katikati ya wajinga!!!! Mamlaka ya hukumu tunayo, hatuna mamlaka ya kuadhibu tu. (yaani kusema hili ni kosa mamlaka hayo tunayo 100%)
Unaweza kusamehewa manake wakatoliki mnasomewa biblia na padre, wenzenu wanaisoma wao wenyewe hata kama somo linasomwa kanisani nao wanafuatisha kwenye biblia zao. Sasa wewe umezoea kusomewa hiyo biblia na Pengo unawezaje kuonyeshwa mamlaka uliyonayo kama biblia inavyoonysha????!!!
wewe ndio ziro kabisa!!!!nani aliyekwambia kuwa wakatoliki huwa tunasomewa biblia kanisani,kwenye jumuia ndogo ndogo unafikiri huwa tunaenda kuuza sura?tatizo lenu mnajiaminisha kuwa nyie ndio mnajua zaidi ya wengine na hao wanaowafanya mazezeta ndio wanawasomea hiyo biblia nyie kazi yenu ni kusema ndiooooo au aleluyaaaaa au ameeeen upuuzi mtupu!ndio maana mnamwamini gwajima kuliko mnavyomwamini Mungu wenu coz kila akipata nafasi anawasomea mistari yenye feva kwa upande wake ili mumtegee yeye kuishi!!!ndio maana hata akifanya makosa mnamtetea coz mmeaminishwa hawezi kosea.ulivyo boya unataka kutumia biblia kuhalalisha huo uppuzi wako,KWA HIYO UKIPIGA KURA YA NDIO NA MAASKOFU WAMEKUAMRISHA UPIGE KURA YA HAPANA BASI WANAKUFUNGIA KABISA MLANGO WA KWENDA MBINGUNI SIO?wewe si unajua BIBLIA sana hebu nitajie huo mstari unakupa mamlaka ya kuhukumu na sio kutoa adhabu(siamini hata kama unajua ni nini umesema hapo).hiyo ya kusoma kufuatilizia wakati mchungaji wako anasoma biblia na baada ya kumaliza anaanza kukufafanulia atakavyo na wewe husemi neno ndio unajisifia?sisi kila siku ya jumuia tunasoma neno kutoka katika vitabu vya Injili(either Mathayo/Yahana/Marko/Luka) na tunashirikishana kila mmoja kwa jinsi anavyoelewa sio wewe unabeba Biblia jpili unafika pale kawe unasubiri gwajima akuambie fungua mstari fulani anasoma yeye we unafuatisha kwa kidole then anaanza kukufafanulia atakavyo hapa Biblia inasema usalipo usipige kelele ye anaongezea hapa walikuwa wanaongelea kama unasali chumbani kwako ndio usipige kelele lakini ukiwa barabarani we payuka uwezavyo na we kweli unaamini eti kisa umeaminishwa huyo ni mpakwa mafuta wa bwana basi anaijua biblia kuliko wewe!!!!!mko breinwoshid hadi mnajiona nyie tu ndio wateule wa Mungu wengine hawafai,HOVYOOOO
 
Mkuu usitufanye sisi ni watoto na hatujasikia kilichosemwa na Gwajima.

Ukawa wangejituliza vyumbani na kuacha jambo hili lipite kimya kimya.kumtembelea Gwajima ina maana mnakubaliana na yote aliyosema Gwajima kitu ambacho si sahihi.

Tusiwe wanafiki.
Kumbe wewe ni mkatoriki sio mkristo, Yesu alisema, nilikuwa nimefungwa hamkuja kuniona, nilikuwa naumwa hamkuja kunitazama.... ONDOKENI. Hata kama Gwajima alikosea kiasi gani bado akiumwa anatakiwa aonwe! Kama utamchukia asionwe utakuwa tofauti vipi na wamataifa wa jino kwa jino? YESU ni wa huruma, wa upendo, mwenye kusamehe. Labda huyo mUNGU wako maria ndo anataka ufanye hilo unalolitaka maana sijajua sifa zake zaidi ya kumzaa YESU.
 
Ngalikumtwa ndiye mkuu wa kanisa TZ, ila pia Gwajima alijikwaa kumtusi Pengo, angetumia busara kufikisha ujumbe leo tungekuwa tunaongelea mengine, lakini mimi sijaona sehemu ambapo UKAWA wamemuunga mkono Gwajima, inawezekana ni mahusiano Binafsi ya Dr slaa, Prof Lipumba na hata makonda ndiyo yamewafanya hawa jamaa wamtembelee Gwajima.
wapi wanaonyesha ndio mkuu wa kanisa katoliki Tanzania au wewe tu kwa mamlaka yako umempa hiko cheo.nifafanulie plz hivi katika ngazi za kiutumishi kwa kanisa katoliki askofu anakuwa juu/chini ya Kadinali?kwa mfano plisi sijui kuna konstebo-sijui sajenti-sijui meja au sajenti nani sijui then.......na kwa upande wa kanisa katoliki inakuwaje?nijuavyo,kwa Tanzania kama linatokea tukio huko Vatican kama uchaguzi wa Papa huwa naona anaenda Pengo na sio mwingine,inakuwaje aende aliye mdogo kimamlaka kwa nchi?
 
wewe ndio ziro kabisa!!!!nani aliyekwambia kuwa wakatoliki huwa tunasomewa biblia kanisani,kwenye jumuia ndogo ndogo unafikiri huwa tunaenda kuuza sura?tatizo lenu mnajiaminisha kuwa nyie ndio mnajua zaidi ya wengine na hao wanaowafanya mazezeta ndio wanawasomea hiyo biblia nyie kazi yenu ni kusema ndiooooo au aleluyaaaaa au ameeeen upuuzi mtupu!ndio maana mnamwamini gwajima kuliko mnavyomwamini Mungu wenu coz kila akipata nafasi anawasomea mistari yenye feva kwa upande wake ili mumtegee yeye kuishi!!!ndio maana hata akifanya makosa mnamtetea coz mmeaminishwa hawezi kosea.ulivyo boya unataka kutumia biblia kuhalalisha huo uppuzi wako,KWA HIYO UKIPIGA KURA YA NDIO NA MAASKOFU WAMEKUAMRISHA UPIGE KURA YA HAPANA BASI WANAKUFUNGIA KABISA MLANGO WA KWENDA MBINGUNI SIO?wewe si unajua BIBLIA sana hebu nitajie huo mstari unakupa mamlaka ya kuhukumu na sio kutoa adhabu(siamini hata kama unajua ni nini umesema hapo).hiyo ya kusoma kufuatilizia wakati mchungaji wako anasoma biblia na baada ya kumaliza anaanza kukufafanulia atakavyo na wewe husemi neno ndio unajisifia?sisi kila siku ya jumuia tunasoma neno kutoka katika vitabu vya Injili(either Mathayo/Yahana/Marko/Luka) na tunashirikishana kila mmoja kwa jinsi anavyoelewa sio wewe unabeba Biblia jpili unafika pale kawe unasubiri gwajima akuambie fungua mstari fulani anasoma yeye we unafuatisha kwa kidole then anaanza kukufafanulia atakavyo hapa Biblia inasema usalipo usipige kelele ye anaongezea hapa walikuwa wanaongelea kama unasali chumbani kwako ndio usipige kelele lakini ukiwa barabarani we payuka uwezavyo na we kweli unaamini eti kisa umeaminishwa huyo ni mpakwa mafuta wa bwana basi anaijua biblia kuliko wewe!!!!!mko breinwoshid hadi mnajiona nyie tu ndio wateule wa Mungu wengine hawafai,HOVYOOOO
Nyie ndo maboya kama mnajadili vipofu kwa nini mapadre wanasoma na kuhitimu vyuoni wakati mpo wa kujadili ukuu wa maria?
 
Ulitaka wakamsabahi pengo wakati haumwi? acha roho mbaya wameenda kumjulia hali kama binadamu.

UKAWA (Chadema) waache unafiki, Mbona mama Zitto alikufa akiwa kada wao mwandamizi hawakwenda kumzika, matokeo yake wakaenda kwenye harusi ya Nasari
 
Kumbe wewe ni mkatoriki sio mkristo, Yesu alisema, nilikuwa nimefungwa hamkuja kuniona, nilikuwa naumwa hamkuja kunitazama.... ONDOKENI. Hata kama Gwajima alikosea kiasi gani bado akiumwa anatakiwa aonwe! Kama utamchukia asionwe utakuwa tofauti vipi na wamataifa wa jino kwa jino? YESU ni wa huruma, wa upendo, mwenye kusamehe. Labda huyo mUNGU wako maria ndo anataka ufanye hilo unalolitaka maana sijajua sifa zake zaidi ya kumzaa YESU.
inaonekana unamdharau sana Mama Maria,huko mbali sana hebu tuanzie na kwa mama yako mzazi,unamchuliaje labda aau ungependa watu wengine wamchukuliaje?kitu kingine cha kukukumbusha ni kuwa,kuna watu wangapi(viongozi na wasio viongozi) wamewahi kutembelewa na hao jamaa zako unaotaka kutuaminisha wanahusika na maneno hayo uliyoyanukuu?
 
wapi wanaonyesha ndio mkuu wa kanisa katoliki Tanzania au wewe tu kwa mamlaka yako umempa hiko cheo.nifafanulie plz hivi katika ngazi za kiutumishi kwa kanisa katoliki askofu anakuwa juu/chini ya Kadinali?kwa mfano plisi sijui kuna konstebo-sijui sajenti-sijui meja au sajenti nani sijui then.......na kwa upande wa kanisa katoliki inakuwaje?nijuavyo,kwa Tanzania kama linatokea tukio huko Vatican kama uchaguzi wa Papa huwa naona anaenda Pengo na sio mwingine,inakuwaje aende aliye mdogo kimamlaka kwa nchi?
Pengo ni mpiga kura, sio kiongozi wa Kanisa katoriki Tanzania, uongozi wake ni Jimbo kuu la Dar es Salaam tu kwisha maneno, akiingia kwenye mkutano wa TEC ni mjumbe kama alivyo askofu wa Tunduru/Masasi. Anachangia kama anavyochangia askofu wa Sumbawanga. Mwenyekiti ambaye ndiyo msemaji wa makubaliano yao ni Baba Askofu Ngalalekumtwa hata jina linaonesha huyu ni mtwa sio huyu sijui Pengo la meno au la bajeti!
 
inaonekana unamdharau sana Mama Maria,huko mbali sana hebu tuanzie na kwa mama yako mzazi,unamchuliaje labda aau ungependa watu wengine wamchukuliaje?kitu kingine cha kukukumbusha ni kuwa,kuna watu wangapi(viongozi na wasio viongozi) wamewahi kutembelewa na hao jamaa zako unaotaka kutuaminisha wanahusika na maneno hayo uliyoyanukuu?
Sijamdharau lakini siwezi kumpa kazi isiyo ya kwake, alikuwa binadamu kama wengine, huwezi kusema ni mama wa MUNGU na ukataka akuombee kwa MUNGU wakati hata yeye anatakiwa kuomba ya kwake.
 
Back
Top Bottom