UKAWA kusambaratika kabla ya Oktoba

UKAWA kusambaratika kabla ya Oktoba

Dah inasokitisha sana, bado tuaabidu mambo ya utabiri, no wonder kuna umaskini wa kutupwa
 
Wenzako wametabiri miaka nenda rudi na wameshindwa.
 
Dr Slaa na Prof ni wasomi wenye ueledi mkubwa sana. Kuna jambo wameshaliona laja mbeleni hawajataka wawe sehem ya aibu hiyo.
 
Utabiri toka kwa babu wa mwanga stand ya k....asiyeamini na aache na wengine tusubiri matokeo...mtaukumbuka uzi huu. Babu anasema tatizo la kusambaratika ni kutofautiana kwa maslahi kati ya wagombea ndani ya chadema na si kingine. Kunawatakao zira kuendelea na kampeni na wengine kufikia hatua ya kujitoa chamani.

My take: Muda ni rasilimali jaribu kutunza kwa subira ukibisha bisha sana utapoteza kwa kukosa maarifa.
Aisee wacha wee jamaa bonge la mtabiri tusaidie itakuwa tarehe ngapi! ?
 
Dr Slaa na Prof ni wasomi wenye ueledi mkubwa sana. Kuna jambo wameshaliona laja mbeleni hawajataka wawe sehem ya aibu hiyo.

Hawana lolote zaidi ya ubinafsi walionao, wivu tu uliwazidia ndani ya mioyo yao kwa kitendo cha Lowasa kujiunga na chadema. Walijua kuondoka kwao Ukawa itakosa nguvu.
 
CDM masrahi wametia bingo mfukoni sahivi wanakula ndogondogo ..chama kimegeuzwa kampuni ya wahuni wasaka tonge madarari wa nchi yetu

We utakuwa umelogwa, madarari ndio nini.!? Ukawa tunachukua nchi asubui mapemaaaaaa..!!
 
Sawa
Tumekusikia.
Una lingine?

Utabiri toka kwa babu wa mwanga stand ya k....asiyeamini na aache na wengine tusubiri matokeo...mtaukumbuka uzi huu. Babu anasema tatizo la kusambaratika ni kutofautiana kwa maslahi kati ya wagombea ndani ya chadema na si kingine. Kunawatakao zira kuendelea na kampeni na wengine kufikia hatua ya kujitoa chamani.

My take: Muda ni rasilimali jaribu kutunza kwa subira ukibisha bisha sana utapoteza kwa kukosa maarifa.
 
Utabiri toka kwa babu wa mwanga stand ya k....asiyeamini na aache na wengine tusubiri matokeo...mtaukumbuka uzi huu. Babu anasema tatizo la kusambaratika ni kutofautiana kwa maslahi kati ya wagombea ndani ya chadema na si kingine. Kunawatakao zira kuendelea na kampeni na wengine kufikia hatua ya kujitoa chamani.

My take: Muda ni rasilimali jaribu kutunza kwa subira ukibisha bisha sana utapoteza kwa kukosa maarifa.

unabii wa uongo wa kipepo, Mungu amrehemu na kumsamehe huyo mzee
 
Ndoto na tabiri zenu za kishetani na mashetani yenu....mtakomaje mwaka huu...!!
 
Back
Top Bottom