Kinjekitile junior
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 4,404
- 581
yani pesa za umma zinaliwa halafu unaziita ngonjera kweli ccm imepenyeza sumu ktk ubongo wa baadhi ya vijana hadi kupoteza kutojitambua na thamani ya taifa lao kifo kibaya hiki ewe mungu mnusuru huyu kijana aamke awe mzalendo kwa taifa lake anaebariki wizi unaopelekea baadhi ya raia wenzie kupoteza maisha barabara mbaya,elimu hovyo hospital hakuna madawa daaaaaaa
Wewe bado mtoto mdogo hujui kupambanua mambo!Fuatilia Ruzuku mliyotafuna ni sh. Ngapi kama huna majibu nenda kwa CAG atakuambia acha kuweweseka wewe kutetea wezi na mafisadi wa Ruzuku wanayopewa na Serikali ya CCM!