UKAWA kusambaratika kabla ya Oktoba

UKAWA kusambaratika kabla ya Oktoba

Utabiri toka kwa babu wa mwanga stand ya k....asiyeamini na aache na wengine tusubiri matokeo...mtaukumbuka uzi huu. Babu anasema tatizo la kusambaratika ni kutofautiana kwa maslahi kati ya wagombea ndani ya chadema na si kingine. Kunawatakao zira kuendelea na kampeni na wengine kufikia hatua ya kujitoa chamani.

My take: Muda ni rasilimali jaribu kutunza kwa subira ukibisha bisha sana utapoteza kwa kukosa maarifa.

Kipindi hicho CCM itakuwa chama cha upinzani.
 
Kama mtu huna kitu cha kuposta andika hata neno ukawa hoyeee. Kuliko mambo ya ovyo ovyo. Toa hata ushauri kwa msaliti zitto namna ya kumpata raisi. Au kwa mwenzie lipumba namana ya kuamua moja aidha ukawa au ccm au kwa nape staili mpya za kuropoka
 
Utabiri toka kwa babu wa mwanga stand ya k....asiyeamini na aache na wengine tusubiri matokeo...mtaukumbuka uzi huu. Babu anasema tatizo la kusambaratika ni kutofautiana kwa maslahi kati ya wagombea ndani ya chadema na si kingine. Kunawatakao zira kuendelea na kampeni na wengine kufikia hatua ya kujitoa chamani.

My take: Muda ni rasilimali jaribu kutunza kwa subira ukibisha bisha sana utapoteza kwa kukosa maarifa.

huna cha kuandika alimrdai umekaa na kakomputer kako usipitwe na mda tu
 
Chezea Mbowe. Kaisha chukua cha kwake mapema. Dr Slaa na Prof Lipumba wamestuka wakasepa. Umesubiri nini wewe.

Tuitoe kwanza ccm, na mengine tutazidishiwa.Saiv hatudanganyiki hat a mzushe nini sisi tunaitoa tu ccm
 
kweli we bwabwa kama jina linavosadiki hahahhaa we ndio maana umesambaratika tigo kitambo
 
Bado mpaka sasa sijaelewa,mwanzo wa story tuelezwa ni utabiri sasa naona anayetoa utabiri humo humo anatukana,SIELEWI kama ni utabiri ameutafsiri au ni mawazo yake kama mkereketwa?
 
Back
Top Bottom