Jay Milionea
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 1,185
- 154
UKAWA KUVUNJIKA IKIWA CHADEMA WATALAZIMISHA KILA KITU WAPATE WAO.Mjumbe wa Baraza Kuu la UONGOZI Cuf Taifa Mhe Cheif Lutasa Yemba aliwahi kusema kuwa Kamwe yeye kama mjumbe wa Baraza Kuu la UONGOZI Cuf hawezi kukubali Chama Chake kuwa MSHUMAA wa Chadema.
Haiwezekani Chama kimoja kupata 50% ya majimbo kisha kipewe na haki ya kusimamisha mgombea wa URAIS huu ni mgawanyo wa kipumbavu na haukubaliki. haukubaliki haukubaliki kabisa, nitaupinga kwa nguvu zangu zote katika vikao vya chama.
Maamuzi mengine ndani ya UKAWA ni ya kijinga sana huwezi kukataa Chama kama ACT au ADC kujiunga na umoja huu wakati zana nzima ya umoja imeundwa kwa hoja kuwa KURA za wapinzani ukiziunganisha kwa pamoja tungeshinda majimbo mengi sana toka mwaka 2000 na 2010 ndio umuhimu wa kuungana ukapatikana.
Sasa ACT kinauwezo wa kuzuia vyama vyetu vyote sehemu nyingi sana kwa mtindo huo huo wa kugawana KURA na CCM wakaibuka washindi katika chaguzi 2015 huu ni upumbavu na haukubaliki kabisa.
Siasa haina adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu ndio maana leo sisi Cuf tunakaa na Chadema na hata KAFULILA (mb) anafanya kazi pamoja na Chadema inashindikana vipi kufanya kazi pamoja na Zitto kwa nia ya kushiriki kuitoa CCM...?
Msimamo wangu kama Cheif Yemba vyama vyote vitakavyo hitaji kujiunga na umoja huu vipewe nafasi ili kuiondoa CCM madarakani 2015 na tuchague mgombea wa URAIS mwenye uwezo wa kuitoa CCM madarakani na uwezo wa kuwasaidia watanzania kwa weledi sio mtu wa hivyo hovyo tu hapana.
Hatuwezi kuwa mbadala waCCM kama ROHO zetu zimejengeka kwa CHUKI CHUKI tu bila kusamehe kuongoza nchi ni jambo linalo hitaji hekima na busara kubwa huwezi kuwa kiongozi wa watu na kuleta maendeleo na haki ukiwa ni mtu wa VISASI na CHUKI ya milele.
Kwanini wenzetu hawataki kuchagua kusimamisha majimbo mengi bila mgombea wa URAIS au kuwa na mgombea wa URAIS na majimbo machache ili kulinda RUZUKU kwa kila chama baada ya uchaguzi.
KAMA HAYA HAYAWEZEKANI HAKUNA UKAWA NI BORA TUTAFUTE WASHIRIKA WAPYA SIO HAWA WAJANJA WAJANJA.
DONGO HILI LIMEPIGWA KWA CHADEMA NA UVHU WAO WA KUTAKA KILA KITU WAPEWE WAO! Umoja wao kusambaratika soon!
‪Source: Chief Lutasa Yemba.
Haiwezekani Chama kimoja kupata 50% ya majimbo kisha kipewe na haki ya kusimamisha mgombea wa URAIS huu ni mgawanyo wa kipumbavu na haukubaliki. haukubaliki haukubaliki kabisa, nitaupinga kwa nguvu zangu zote katika vikao vya chama.
Maamuzi mengine ndani ya UKAWA ni ya kijinga sana huwezi kukataa Chama kama ACT au ADC kujiunga na umoja huu wakati zana nzima ya umoja imeundwa kwa hoja kuwa KURA za wapinzani ukiziunganisha kwa pamoja tungeshinda majimbo mengi sana toka mwaka 2000 na 2010 ndio umuhimu wa kuungana ukapatikana.
Sasa ACT kinauwezo wa kuzuia vyama vyetu vyote sehemu nyingi sana kwa mtindo huo huo wa kugawana KURA na CCM wakaibuka washindi katika chaguzi 2015 huu ni upumbavu na haukubaliki kabisa.
Siasa haina adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu ndio maana leo sisi Cuf tunakaa na Chadema na hata KAFULILA (mb) anafanya kazi pamoja na Chadema inashindikana vipi kufanya kazi pamoja na Zitto kwa nia ya kushiriki kuitoa CCM...?
Msimamo wangu kama Cheif Yemba vyama vyote vitakavyo hitaji kujiunga na umoja huu vipewe nafasi ili kuiondoa CCM madarakani 2015 na tuchague mgombea wa URAIS mwenye uwezo wa kuitoa CCM madarakani na uwezo wa kuwasaidia watanzania kwa weledi sio mtu wa hivyo hovyo tu hapana.
Hatuwezi kuwa mbadala waCCM kama ROHO zetu zimejengeka kwa CHUKI CHUKI tu bila kusamehe kuongoza nchi ni jambo linalo hitaji hekima na busara kubwa huwezi kuwa kiongozi wa watu na kuleta maendeleo na haki ukiwa ni mtu wa VISASI na CHUKI ya milele.
Kwanini wenzetu hawataki kuchagua kusimamisha majimbo mengi bila mgombea wa URAIS au kuwa na mgombea wa URAIS na majimbo machache ili kulinda RUZUKU kwa kila chama baada ya uchaguzi.
KAMA HAYA HAYAWEZEKANI HAKUNA UKAWA NI BORA TUTAFUTE WASHIRIKA WAPYA SIO HAWA WAJANJA WAJANJA.
DONGO HILI LIMEPIGWA KWA CHADEMA NA UVHU WAO WA KUTAKA KILA KITU WAPEWE WAO! Umoja wao kusambaratika soon!
‪Source: Chief Lutasa Yemba.