UKAWA kusambaratika kabla ya Oktoba

UKAWA kusambaratika kabla ya Oktoba

mmehamia kwenye kiswahili fasaha hhahahahahahhahahah!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mtu kwao bwana. Mwl. J.K Nyerere alisema, "Chakula kikiandaliwa hovyo, kitapikwa hovyo hovyo hata wanaokula watakula hovyo hovyo" Mimi sikubali kukila hovyo hovyo. Kwanini tusikihusudu chetu? ha ha ha ha ha ha ha ha ha !!!!!!!!!!. Kazana kijana utafaulu tu hilo lipo kwenye uwezo wako.
 
Mtu kwao bwana. Mwl. J.K Nyerere alisema, "Chakula kikiandaliwa hovyo, kitapikwa hovyo hovyo hata wanaokula watakula hovyo hovyo" Mimi sikubali kukila hovyo hovyo. Kwanini tusikihusudu chetu? ha ha ha ha ha ha ha ha ha !!!!!!!!!!. Kazana kijana utafaulu tu hilo lipo kwenye uwezo wako.

hatuko huko hakuna mada ya bakita hapa
 
Utabiri toka kwa babu wa mwanga stand ya k....asiyeamini na aache na wengine tusubiri matokeo...mtaukumbuka uzi huu. Babu anasema tatizo la kusambaratika ni kutofautiana kwa maslahi kati ya wagombea ndani ya chadema na si kingine. Kunawatakao zira kuendelea na kampeni na wengine kufikia hatua ya kujitoa chamani.

My take: Muda ni rasilimali jaribu kutunza kwa subira ukibisha bisha sana utapoteza kwa kukosa maarifa.
 
Magufuli anatosha nyuma tu, keshaharibiwa na mshua na ninamhakikishia mafuriko hayatamwacha salama.
 
Endelea kusubiri, afu utakuja na utabiri mwingine, muulize Wassira kuhusu alichotabiri kuhusu Chadema kama yametimia
 
CDM masrahi wametia bingo mfukoni sahivi wanakula ndogondogo ..chama kimegeuzwa kampuni ya wahuni wasaka tonge madarari wa nchi yetu
 
Hakuna kosa kubwa kwa wakati huu kama kujidanganya na kujaribu kudanganya wengine! Lowasa anatosha!!
 
Utabiri toka kwa babu wa mwanga stand ya k....asiyeamini na aache na wengine tusubiri matokeo...mtaukumbuka uzi huu. Babu anasema tatizo la kusambaratika ni kutofautiana kwa maslahi kati ya wagombea ndani ya chadema na si kingine. Kunawatakao zira kuendelea na kampeni na wengine kufikia hatua ya kujitoa chamani.

My take: Muda ni rasilimali jaribu kutunza kwa subira ukibisha bisha sana utapoteza kwa kukosa maarifa.

Kama umelipwa buku saba kwa huu upuuzi basi kweli mnaelekea pabaya.
 
Chezea Mbowe. Kaisha chukua cha kwake mapema. Dr Slaa na Prof Lipumba wamestuka wakasepa. Umesubiri nini wewe.
 
UKAWA haitahangaika kulipa kisasi , mashaka yametoka wapi tena ?
 
Chezea Mbowe. Kaisha chukua cha kwake mapema. Dr Slaa na Prof Lipumba wamestuka wakasepa. Umesubiri nini wewe.

Lowasa hajampa kitu Mbowe Tambua Lowasa hana hiyo pesa pia Mbowe hana njaa usikariri story za kutengenezwa na Nape na Makonda chini ya boss wao Membe. Wao CCM na Membe ndiyo matajiri wana pesa za kununua watu. Mfano sasa Membe kawapa pesa Nape na Makonda wamewarubuni Slaa na Lipumba wakidhani watawadhoofisha Ukawa kumbe wamepiga chajuu na cha Udalali pia huku wakivuta pesa huku na huku kwa CCM ya kunana na kwa Wahindi pia za Marehemu Gafafi toka kwa Membe. Wenzako wanapiga pesa kupitia huu mchakato unakaa kuwasifia Nape.
 
Hata siku moja muungano wa fisi na nyumbu hauwezi kudumu

Muungano wa ACT , TLP na CCM ndiyo utakufa lakini Muungano huu wa ukawa haufi kamwe hata Membe anunue ukawa wote watakula pesa zake msimamo utabaki pale pale.
 
Sintashangaa ID yako maana yawezekana umetoka wilaya moja na MAGUFULI.
MWANAMAYU_uli ntumbafu.
 
Utabiri toka kwa babu wa mwanga stand ya k....asiyeamini na aache na wengine tusubiri matokeo...mtaukumbuka uzi huu. Babu anasema tatizo la kusambaratika ni kutofautiana kwa maslahi kati ya wagombea ndani ya chadema na si kingine. Kunawatakao zira kuendelea na kampeni na wengine kufikia hatua ya kujitoa chamani.

My take: Muda ni rasilimali jaribu kutunza kwa subira ukibisha bisha sana utapoteza kwa kukosa maarifa.
Nyinyi kweli ni vilaza kila kukicha mnawaza na kuamini habari za kishirikina eti utabiri ndio upuuzi gani huo?
Mtegemeeni mungu muumba wa mbingu na nchi.
Ndio maana chama chenu kimejaa mambo ya uwizi tu kisa kuamini waganga wa vienyeji.
Chama chenu kinapasuka nyinyi mnakalia eti utabiri kama wafuasi wa Kinjekitile Ngware na vita ya majimaji.
Nyie subirini tu October muone kama waganga wenu watawasaidia.
 
Back
Top Bottom