Kinjekitile junior
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 4,404
- 581
Ndiyo kaka nimegundua tunapotea kuke hivyo acha ukweli ubaki kuwa ukweli, Ccm hawana mpinzani, Ukawa bhana kila kukicha ni majungu na fitina na kugombea madaraka na majimbo.
Siasa za majukwaani ni sheedah uongo mwingi",