Mkuu hayo yote ni harufu ya chakula kinapikwa jikoni.
Kimeiva 95%, hiyo 5% ndiyo maji yanakaukia ili kiwe tayari kuliwa. Lazima harufu itasikika hadi kwa majirani lakini siyo warrant kwa majirani kuingia hadi jikoni kuanza kupekua kimepikwaje ajli tu wamesikia harufu.
Hiyo 5% ndiyo lala salama. Walikotoka ni kugumu na kuzito sana. Hapa ni hitimisho waacheni wafanye finishing!.
Mkuu, kumbuka kwamba uwezo wa mtu haupimwi ni namna gani anaweza kufanya na watu wanaomkubali au wenye mawazo kama yake tu. Inaleta ukomavu zaidi namna gani anavyoweza kuunganisha watu wa aina mbali mbali hata wasiokuwa kama yeye katika kufikia malengo ya pamoja yaliyokusudiwa.
IKiwa CUF wamepewa majimbo yote Zanzibar, kuna sababu ambayo imeonekana ni ya msingi na ikakubalika. Kumbuka UKAWA hawanyakui majimbo kwa kunyang'anyanng'anyana au kujichukulia kila mtu anavyotaka. CUF majimbo yote waliyonayo Zanzibar, hawajajipa lakini hata kama walitoa hoja, bado hoja zile zilikubalika ndani ya UKAWA na UKAWA wakaridhia.
Hilo si tatizo kwa sababu serikali itakayoundwa haitakuwa ya CUF itakuwa ya UKaWa na kila mhusika atarespect hicho haijalishi anatoka chama gani.
Kwa kuwa 95% ya mgawanyo umekamilika, hiyo 5% pia itakamilika kwa namna yoyote. Kama kuna changamoto ndani ya UKAWA, ni vichocheo vya kuwakomaza namna ya kutatua changamoto kitu ambacho kitakuwa ni maisha yao ya kila siku wtakapokuwa wakiongoza serikali.
Kuwepo kwa changamoto usikuchukulie kwamba ni failure lakini angalia namna gani wanazimaliza ndipo uone vile zimekuwa growth opportunities kwa UKAWA.
Kimeiva 95%, hiyo 5% ndiyo maji yanakaukia ili kiwe tayari kuliwa. Lazima harufu itasikika hadi kwa majirani lakini siyo warrant kwa majirani kuingia hadi jikoni kuanza kupekua kimepikwaje ajli tu wamesikia harufu.
Hiyo 5% ndiyo lala salama. Walikotoka ni kugumu na kuzito sana. Hapa ni hitimisho waacheni wafanye finishing!.
Mkuu, kumbuka kwamba uwezo wa mtu haupimwi ni namna gani anaweza kufanya na watu wanaomkubali au wenye mawazo kama yake tu. Inaleta ukomavu zaidi namna gani anavyoweza kuunganisha watu wa aina mbali mbali hata wasiokuwa kama yeye katika kufikia malengo ya pamoja yaliyokusudiwa.
IKiwa CUF wamepewa majimbo yote Zanzibar, kuna sababu ambayo imeonekana ni ya msingi na ikakubalika. Kumbuka UKAWA hawanyakui majimbo kwa kunyang'anyanng'anyana au kujichukulia kila mtu anavyotaka. CUF majimbo yote waliyonayo Zanzibar, hawajajipa lakini hata kama walitoa hoja, bado hoja zile zilikubalika ndani ya UKAWA na UKAWA wakaridhia.
Hilo si tatizo kwa sababu serikali itakayoundwa haitakuwa ya CUF itakuwa ya UKaWa na kila mhusika atarespect hicho haijalishi anatoka chama gani.
Kwa kuwa 95% ya mgawanyo umekamilika, hiyo 5% pia itakamilika kwa namna yoyote. Kama kuna changamoto ndani ya UKAWA, ni vichocheo vya kuwakomaza namna ya kutatua changamoto kitu ambacho kitakuwa ni maisha yao ya kila siku wtakapokuwa wakiongoza serikali.
Kuwepo kwa changamoto usikuchukulie kwamba ni failure lakini angalia namna gani wanazimaliza ndipo uone vile zimekuwa growth opportunities kwa UKAWA.
Kamanda tuliza mzuka wewe uache jazba,tatizo huko UKAWA moto unawaka ni mkali kiasi kwamba wao wenyewe wanakimbilia nje na kuanza kutoa siri zao, kwenye kipindi cha Dk 45 ITV wiki kama 2 zilizopita MHE.Mbatia alikiri ndani ya Umoja huo kuna ubinafsi cause of different political background na hili unalipinga, nikuulize na wewe mgawanyo wa majimbo 12 mbona bado unawatoa jasho, check znz wenzenu CUF WAMEACHIA JIMBO moja tu sasa ndo nini?