thubutuuuu ". chizi " hawezi " kuelewa huu ushauri wako "..Ukerewe wanahitaji meli kubwa bajeti ya kurudia uchaguzi ielekezwe huko katika miundombinu
mmh!View attachment 872196
Hicho ni kivuko cha Mv Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorola (Ukerewe) na Bwisya (Ukara). Kilikuwa kimeharibika kwa muda mrefu tangu kununuliwa mwaka 2004 na kilikakarabatiwa mwaka huu kwa kwa kufungwa injini mpya.
Dah!! Poleni Wakerewe na Wakara wenzetu.
KIVUKO CHA MV. NYERERE CHAFUNGWA INJINI MPYA - Issa Michuzi
Kwakivyo unataka kusema majini kikipiduka wanaokolewa na watembea kwamiguu?.Mtoa taarifa hajasema imezama amesema imepinduka mijuu guu
Usibishe kitu usichokijua eti vijimeli vya kivukoni, kile ni kivuko Mv Nyerere kimebadilishwa injini juzi.Sio kivuko hicho unachokizungumzia ni vile vijimeli kama unavyoviona feli kule zile za wavuvi au kama kama zile zinazovisha watu kwenda mafia kupitia rufiji.
Wazir husika atoe rambirambi faster kisije kikaota nyasi kibaruaTaarifa nilizozipata haraka sasa hivi ni kuwa watu wengi sana wanahisiwa kufa maji baada ya kivuko kubinuka juu chini, chini juu katika kisiwa cha UKALA wilayani Ukerewe.
====
Kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorara na kisiwa cha Ukala katika ziwa Victoria kimezama huku taarifa za idadi ya watu waliokuwemo ndani ya kivuko hazijajulikana.
Rais si alikuwa huko juzi na tBC1 Live na akawalipa wafanyakazi wote madeni yao na akawakataza wasi over load?
Vipi tena.
daraja wapi tena?Hee.., mbona unatutisha wa huku Kigamboni? ,ndio maana nasema pajengwe daraja pale, hamsikii..
Jiwe huwaga ana gundu ni kama uko hospitali alafu Mortician(jiwe) akaingia wodini lazima gundu litokee tu... alienda msalimia dada yake mwishowe dada akavuta...
Anyway sisi kipaumbele chetu ni CHADEMA ila Kenge yupo wapi au nguvu ya soda ishaisha moto kama wa kiberiti maana alimwambia naniliu kwamba hatatuma salamu za rambirambi
Poleni wenzetu
Kina uwezo wa kuchukua zaidi ya abiria 100.idadi ya abiria ni wangapi? mliopo huko mtujuze wa mbali.