Kilombero tulipiga kelele wakajenga daraja, wajenge madaraja kwenye vivuko vyoteKilikuwa cha kamba km kile kilombero zamani?
Wamekifanyia matengenezo juzi tena kwa million 150.. Nafikiri I injini mpya zimeleta shida.. Poleni watu wa ukaraUtasikia Serikali haikuleta hii ajali.
Poleni sana mliofikwa na hilo janga!
Mtoa taarifa hajasema imezama amesema imepinduka mijuu guuWamekifanyia matengenezo juzi tena kwa million 150.. Nafikiri I injini mpya zimeleta shida.. Poleni watu wa ukara
Hivi ndio hiko?Wamekifanyia matengenezo juzi tena kwa million 150.. Nafikiri I injini mpya zimeleta shida.. Poleni watu wa ukara
Ooh sorry miguu juu.Mtoa taarifa hajasema imezama amesema imepinduka mijuu guu
Aisee.Wamekifanyia matengenezo juzi tena kwa million 150.. Nafikiri I injini mpya zimeleta shida.. Poleni watu wa ukara
Dadeq watu bado wanapiga mtonyo wa serikaliWamekifanyia matengenezo juzi tena kwa million 150.. Hatari sana kwakweli
Au ubovu wa chombo chenyewe.kama hakukuwa na dhoruba basi ni yale mambo ya kujaza watu na walivyo beba kupita kiasi.
poleni sana
Wajenge daraja kama KilomberoEndeleeni kuuza na kununua wabunge ,watu wanazama maji.
Ameandika kimepinduka juu chini chini juuMtoa taarifa hajasema imezama amesema imepinduka mijuu guu
Ni zaidi ya m190 mkuu, watu wanapiga usikute zilitumika m50 tu zingine tumboni madhara yake ndiyo haya.Wamekifanyia matengenezo juzi tena kwa million 150.. Hatari sana kwakweli