Wakujilipua
JF-Expert Member
- May 5, 2018
- 1,591
- 1,391
Natafakari tu,
Kama PhD zimeokoa mtu mmoja, na wasio na elimu wameokoa 40,
Kuna haja ya PhD ?
Bado natafakari.
Natafakari tu,
Kama PhD zimeokoa mtu mmoja, na wasio na elimu wameokoa 40,
Kuna haja ya PhD ?
Bado natafakari.
kaa tu usijaliJoseverest nimekushikia siti yako kaka,
Ukija utaniambia niinuke
Ila nimekaa sana mpaka kivuko kimeopolewa ndo unakujakaa tu usijali
tulikuwa maombolezoni aiseeIla nimekaa sana mpaka kivuko kimeopolewa ndo unakuja
Ohhhtulikuwa maombolezoni aisee
asantee sanaOhhh
Poleni sana waka Ukere.
Karibu uraiani
Uje kwa Party....asantee sana
usijaliUje kwa Party....
Nitapiga picha nawe kwenye Red Carpet
Magu alifanya kosa gan ww.. Au ndo kukaririWasio na hatia wanaadhibiwa kwa vifo kwaajili ya kiburi cha Magu , nchi imejaa laana kwasasa majanga mengi tu yatatokea jamaa asipotubu
Ndie yuko nyuma ya majanga hayo yoteMagu alifanya kosa gan ww.. Au ndo kukariri
Alifanya kosa ganNdie yuko nyuma ya majanga hayo yote
Subiri aje akufanzie wewe direct ndio utaelewa.Alifanya kosa gan