Ukahaba huu Msamvu Morogoro ni hatari


Mjomba mkopo wao wale ukiwa mteja kweli wa kudumu na wana discount nzuri sana ila unatakiwa usiwe na tamaa ukikopa haulipi kesho unachukua mwengine mutakorofishana
 
mkuu, hiki ndicho ninachofahamu hata mimi na huu ndio uzoefu nilio nao juu ya hawa vyangu wa barabarani. kama utakuwa umenisoma vizuri, hata mimi natetea uwepo wao kwa kuwa bei zao ni nafuu, kama ulivyokokotoa.
 

Mjomba duhh elfu tano mbona kubwa kuna wale wanaitwa tap 4 hao ukiwabembeleza wanakupunguzia mpaka elfu 2000 pia unawezakushuka tena chini ya hapo na ukimwambia umepungikiwa 200 anakuambia huduma haitaki kupungukiwa kesho ukija uje na cash
 
Wenzetu Rwanda "wameadvance" ukifika kigali kuna maeneo wadada wanauza yanatambulika hadi na serikali, mfano kuna sehemu kigali wanaita gomora kahaba anakitambulisho kabisa!!![emoji12]

Tatizo wale mkuu hata ukipungukiwa mia 200 wanakataa ! Pia hata uende mara ngapi hawakukopeshi wakati wa kwetu hapa wenyewe wanakuambia neno lao ugeni siku tatu yaani hapo ni ile siku ya pili sasa na ukifika ya nne unapewa mpaka discount,ila mkuu ni hatari sana maisha yale
 
hata keep change huwa nawaachia ! wako bomba sana. tena hawana complain za hovyo hovyo. ni sehemu bora ya kupotezea stress za home. tuwaheshimu hawa!!!!
Safi sana mkubwa
 
Aisee huku kwetu mtwara na lindi mambo hayo 'official' bado kabisa
 
Hivyo hivyo. Tanangozi. ifunda. nyororo. Makambako. Igawa. Chimala. uyole. Mbalizi. Songwe. Mlowo. Tunduma eneo la mpemba

BOSI MPAKA
TANANGOZI
NYOROROLO
MK
IFUNDA
BASI MM NAKWENDA KUWAKATIA RB WAKAMATWE SASA
 
Umechukua hatua gan
 
Tembea uone mkuu!
UKAHABA MSAVU TO PALE MSAMVU SI UNAJUA MALORI YA MIZIGO YANAPAKI,ALAFU PALE JAMAA WANA SHESHA.....
MAKAHABA WANACHEZA PALE N'A NYUMBANI PARK (KIHONDA) KWA NJE
KUNA VITU DUNIA KUJA KUONDOKA NI NGUMU SANA....

OVA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…