kirumonjeta
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 3,966
- 1,968
Ila inasaidia kupunguza ubakaji

Hiyo ndiyo safi sana, siyo hapa bongo kazi yetu ni siasa tu kila jamboWenzetu Rwanda "wameadvance" ukifika kigali kuna maeneo wadada wanauza yanatambulika hadi na serikali, mfano kuna sehemu kigali wanaita gomora kahaba anakitambulisho kabisa!!!![]()
Poa mkuu,Husijali mkuu
Sasa huo ni umafia kwani naamini kwa mwanaume mwenye busara hata ile hamu inapotea ukisha ona chumba kilivyoPale Msamvu kuna night club inaitwa "Manyoni"...ni aibu sana.Chumba kimoja wanaingia hadi ten couples,kitanda kimoja...so dangerous
Ulichokifanya mkuu sio njia sahihi kama ulizani unakusudia kuzuwia tokea sasa tambua kwama ndio kwanza unawapigia debe huku ukiwatangazia biashara yao hiyo haramu na wewe una fungu lako kwa kila atakae soma uzi wako huu na ikawa ameenda kujiuza kwa kujua kuwa kuna sehemu kuna wateja wanaonunua bidhaa hiyo kwa pesa uliyoitaja au mtu akavutiwa na hiyo bei au huduma kwa ujumla akaenda kununua bidha hiyo uliyoitangaza ktk uzi huu tena bila hata kulia hiyo biashara uliyoitangazaWanabodi nianze kwa kuwasalimu wote,naomba kuelezea masikiiko yangu makubwa juu ya hali ya ukahaba unaofanyika msamvu karibu a stand kuu eneo la maduka na kwa kina mama nitilie wakati wa usiku,ni hatari sana ukichukulia sheria ya usalama barabarani ya kuzuia mabasi yanayotokea mikoani kulazimishwa kulala pale baada ya saa 4 za usiku.
Kunakuwa na abiria wengi na wasichana wanajiuza na wanafanya ufusika huu nyuma ya magari au chini ya malori au nyuma ya mabanda bila kificho,na bei zao ni sh 2000 =nimeshuhudia uchafu huu ambao ni njia mojawapo ya kusambaza maambukizi ya virusi vya ukimwi.
Mkuu nashukuru sana kwa kupata fursa nawe kushiriki huu mjadalaUlichokifanya mkuu sio njia sahihi kama ulizani unakusudia kuzuwia tokea sasa tambua kwama ndio kwanza unawapigia debe huku ukiwatangazia biashara yao hiyo haramu na wewe una fungu lako kwa kila atakae soma uzi wako huu na ikawa ameenda kujiuza kwa kujua kuwa kuna sehemu kuna wateja wanaonunua bidhaa hiyo kwa pesa uliyoitaja au mtu akavutiwa na hiyo bei au huduma kwa ujumla akaenda kununua bidha hiyo uliyoitangaza ktk uzi huu tena bila hata kulia hiyo biashara uliyoitangaza
Chuo kikuu kilicho karibu na msamvu ni morogoro Muslim.tunatarajia kufanya maombi ya mkesha kwaajili ya kuvunja hio roho ya ukahaba maeneo hayo, na inasadikika ni wanafunzi wa chuo kikuu kilicho karibu.
Ndo kusema kwa kuwa kiko karibu ndo wanafanya yao? Dini haitaki hii kituChuo kikuu kilicho karibu na msamvu ni morogoro Muslim.
Tamaa mbele mauti nyuma,after all miili yetu ndo sehemu pekee tunayoishi hvyo tunapaswa tusiitese kwa tamaa za muda mfupi za madawa,pombe na ngonoWanaume nadhani wana sababu kadhaa zinazofanya waende kwa dada poa
1)Kupata mzuri /umtakaye kiurahisi - kitaani ni ngumu na ni mchakato kumpata mrembo.
2)Gharama - ukibahatika kumpata huyo mrembo umtakaye basi umebahatika pia kupata mzigo wa majukumu
3) Kupigwa vibuti - mwanamke anayesifiwa kwamba katulia mtaani ni yule ambaye anawatosa wengi.
4)Wanawake kutotulia - unakuta mtu ameshatendwa na wanawake zaidi ya watatu, hao hao watoto wa geti wenye maringo unakuja gundua baadae kumbe mko foleni wanaume 6 sasa huyu si changu wa nyumbani?
5) Pesa / u-handsome /umaarufu - Inaaminika hivyo ni vigezo vikubwa vinavyofanya mwanaume amvutie mwanamke. Kama huna kati ya hivyo au kingine ambacho sijakitaja utajikuta unachezea sana vibuti and hence dada poaz.
6) Uzembe na tamaa - kwamba watu wanaishi tu kizembe na hawajali sana kuhusu maisha. After all maisha yenyewe mafupi haya.
Etc etc etc....
Ujionee au ukanunue mkuuNext week napita hapo inabidi nishuke "NIJIONEE"
Tupia picha tafadhaliWengine ni kunguru mkuu, hawafugiki hata wawe na uhakika wa Kula kuvaa na kulala vitu ambavyo kwa %90 anafanana navyo mke mwenye ndoa yake, bado atauza mwili tu. Nimeyaona kwa binti wangu wa kazi alikuwa anapata mahitaji yote pale nyumbani kasoro ngono tu, lakini alikua usiku anatoroka kwenda kujiuza, anatoka mbezi mwisho, anaenda masoko ya Malaya sinza, Buguruni,Manzese na Kigamboni. Mchana alikua anavaa nguo za heshima usiku wa saa nne mpaka tano, anaoga anavaa vinguo vinavoishia mapajani anatoka zake kwenda kuuza nikakusanya ushahidi kwa kuona na kuambiwa na watu nikamuondoa.
Ni KAUMBA sio KAYUMBA.Mkuu ivi pale KAYUMBA vipi bado panawika na wateja jinsia zote wapo?
Kahumba mkuu, opposite na ccm makao makuu MgrNadhan unamaanisha kaumba mkuu
Siku hizi pamechoka sio kama zamani.Ni KAUMBA sio KAYUMBA.
Pale kama kalambwanda, biashara mpaka kucheeeee