DellaPina
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 1,024
- 3,512
Daaaaaaaaaaaaaaaaaaah!!!!!
Pale wanapauta ITIGI cha kushangazaaa huu ni uhakika,, mpaka wanachuo wa SUA , MUMO na baadhi ya vyuohuenda maeneo yale kujiuza_; ukienda KAHUMBA, NYUMBANI PARK, SAMAKI SAMAKI,, ki ukweli utakoma,, na ikifika saamida ya saa tano mpaka saa sita watu mpaka huonjeshwa kwa wale wateja wa kudumu na mkopo wakati mwingine hutoa,, kwa wale wanachuo ambao hua eidha chuoni kwao ni mbali au huogopa huamua kumng'ania mwanaume hata apate pa kulala kwa siku hiyo na chakula.
Kesho yake anatinga chuo ukikutana nae unamwita bonge la demu
Mjomba mkopo wao wale ukiwa mteja kweli wa kudumu na wana discount nzuri sana ila unatakiwa usiwe na tamaa ukikopa haulipi kesho unachukua mwengine mutakorofishana