Ni mojawapo ya njia za kuwaingizia kipatoHASWAA UMENENA....WANAUME WENYEWE MACHO KODO KODO KUTAKA VYA BEI RAHISI UNAFIKIRI BIASHARA ITAKUFA. HEBU WAWACHUNIE SIKU MBILI TATU UONE KAMA ITIGI ITAKUWEPO......MUNGU ATUSAIDIE TUPAMBANE NA HILI
Mimi huwa nawaambia kabisa kuwa hizo habari za kuitana baby noHapo sawa mkuu.Alafu anajidekeza balaa ili umbembeleze, atakutegemea hadi uhuisi kuwa hana wasaidizi wengine.....akikukosa kwa simu tu atalalamika sana...ila wewe ukimkosa atakufix na kukupooza kwa maneno mazuri kumbe ana madanga kama tano hivi.....wewe anakuona zuzu la kuuzia kitaani na maclab ambako wewe ndiye unayegharamia hahahahaaaa.
Daaa nashindwa kukujibu ila kwa kina dada ujue ni tofauti na matumizi ya wanaume,wanahitaji vipodozi,kuvaa vizuri na wakati wote wawe exceptionalChuoni saivi unapewa 500000 kwa miezi miwili, kama si ulafi na kutokujua kupanga matumizi ni kitu gani? Hivi kweli shilingi laki 5 haikutoshe mpaka ufike hatua ujiuze
Mkuu dah unanipa mzuka fanya kunipa namba tuVyuo vyote hapa morogoro ni member
Ha ha ha naona unazungumzia Itigi hapo Msamvu! Halafu wauzaji ni kuku wa kienyeji kabisa!
Mchana salama kabisa oiiiii iingie satatu nne mpaka Saba! hata wa buku unapata!
Pole sana kuliko kuwa na mahusiano kizunguzungu ya kumgeuza mtu babaako mzazi, kisa kaomba papuchi si bora hiyo pesa akatoe huko na ajue tu kuwa ni gongs pita wenzio waja.Ni huduma kama zilivyo huduma nyingine
Hivyo hivyo. Tanangozi. ifunda. nyororo. Makambako. Igawa. Chimala. uyole. Mbalizi. Songwe. Mlowo. Tunduma eneo la mpemba
Jamaa wamefanikiwa kuichezea DNA! This is serious, it's not a joke. Kwa wale wazee wa science pevu, narudia tena science pevu, hii ni kazi ndogo sana. Only a certain chemical in the atmosphere at a certain concentration attains the desired effect. Hii imefanyika dunia nzima, sio Tanzania tu.issue ya ukahaba ni janga la dunia na si nchi yetu tu.Binadamu wa leo ni ngumu sana kuwaweka ktk mstari mmoja tumuombe mungu
Jina maarufu samaki samakisi nasikia siku hz huwa wanajaa pale Nyumbani park
KAHUMBA na si KAYUMBAMkuu ivi pale KAYUMBA vipi bado panawika na wateja jinsia zote wapo?