Ukahaba huu Msamvu Morogoro ni hatari

Ukahaba huu Msamvu Morogoro ni hatari

Mbona wengi wanaolewa sana....ukihitaji wa geti kali ama wengineo wanaojidai wanajiheshimu na wanagongwa na wengine lazima kwa uchache utenge 50,000 na hapo usiguse msosi wala bia
 
UKAHABA MSAVU TO PALE MSAMVU SI UNAJUA MALORI YA MIZIGO YANAPAKI,ALAFU PALE JAMAA WANA SHESHA.....
MAKAHABA WANACHEZA PALE N'A NYUMBANI PARK (KIHONDA) KWA NJE
KUNA VITU DUNIA KUJA KUONDOKA NI NGUMU SANA....

OVA
Hiyo ndiyo raha na karaha ya duniani
 
Daahh ukahaba upo na mwendo saana kwa Taifa lakn sababu bado haijajulikana

HUENDA :-
1 Ugumu wa maisha
2 Raia wamekua wavivu ktk utaftaji
3 Michongo na deals zao zimegoma
4 Ulemavu wa akili(block minded)
5 Kutegemea vya wazaz na sasa havipo
 
Mimi nashauri tu bei elekezi iwekwe wazi watu waifanye hiyo kitu kama ajira rasmi kwa sababu kama ni wateja wapo wengi na wengi ni watu na heshima zao nashauri tu huduma iboreshwe na pia mazingira yakutolea huduma yawe rasmi baada ya hapo Nduhu shida lolo ba ngosha na va maayo
 
Hili la ukahaba halikuanza leo. Rejea kwenye biblia, kuna mpendwa mmoja wa Mungu alitegeshwa na mke wa kijana wake aliyekuwa amefariki ili apate uzao. Yeye alijua kanunua kahaba kumbe mkwewe ndo kajifunika maguo.
 
Back
Top Bottom