Ukahaba huu Msamvu Morogoro ni hatari

Ukahaba huu Msamvu Morogoro ni hatari

Serikali inge ipitisha hii biashara tu maana kuendelea kujifanya inapiga vita wakati ndio kwanza inazidi kushamili siyo busara
madhara ni mengi kwa hii biashara kuliko faida, serekali haina haja ya kupitisha, ukiwaangalia wanaofanya biashara basi mwisho wao hawapati chochote, iyo 5000 unayopewa mara unakutana na mlevi anakuharibu na matibabu yake zaidi ya lakini tano, maambukizi yataengezeka na kulifanya taifa liendelee kutumia pesa nyingi kwa waathirika, biashara hii lazima ikomeshwe
 
madhara ni mengi kwa hii biashara kuliko faida, serekali haina haja ya kupitisha, ukiwaangalia wanaofanya biashara basi mwisho wao hawapati chochote, iyo 5000 unayopewa mara unakutana na mlevi anakuharibu na matibabu yake zaidi ya lakini tano, maambukizi yataengezeka na kulifanya taifa liendelee kutumia pesa nyingi kwa waathirika, biashara hii lazima ikomeshwe
Ni kweli usemayo lkn sasa haya yanayofanyika unadhani hayo madhara uliyoyasema hayatokei?
 
Duuuuuuuuu!!!!!!!!!!! Ctasahau morogoro msavu,nilifika ucku mida ya Saa tano , cjui hili wala lile nikaenda kutafuta sehemu ya kulala kufika pale nikakuta wasichana kibao ,nikaulizia chumba kabla hata cjajibiwa nashangaa navutwa huku na huku mimi ndo naenda naye,ikabidi niwe mkali,na mda huo wife nimemuacha kwny gari.wakuu nilitoka mita mia moja ili kunusuru maisha yng.
 
Duuuuuuuuu!!!!!!!!!!! Ctasahau morogoro msavu,nilifika ucku mida ya Saa tano , cjui hili wala lile nikaenda kutafuta sehemu ya kulala kufika pale nikakuta wasichana kibao ,nikaulizia chumba kabla hata cjajibiwa nashangaa navutwa huku na huku mimi ndo naenda naye,ikabidi niwe mkali,na mda huo wife nimemuacha kwny gari.wakuu nilitoka mita mia moja ili kunusuru maisha yng.
Daaaaa sipati picha jinsi ulivyotimua mbio,hiyo ndiyo moro
 
Wanabodi nianze kwa kuwasalimu wote,naomba kuelezea masikiiko yangu makubwa juu ya hali ya ukahaba unaofanyika msamvu karibu a stand kuu eneo la maduka na kwa kina mama nitilie wakati wa usiku,ni hatari sana ukichukulia sheria ya usalama barabarani ya kuzuia mabasi yanayotokea mikoani kulazimishwa kulala pale baada ya saa 4 za usiku.

Kunakuwa na abiria wengi na wasichana wanajiuza na wanafanya ufusika huu nyuma ya magari au chini ya malori au nyuma ya mabanda bila kificho,na bei zao ni sh 2000 =nimeshuhudia uchafu huu ambao ni njia mojawapo ya kusambaza maambukizi ya virusi vya ukimwi.
We mmakonde acha ushamba, je hao ambao mtoto wa miaka 14 ruhusa kuolewa, nani m'baya?
 
Khaaaaa, mimi nilivyoona kichwa cha habari nikadhani huo ukahaba wa Moro ni tofauti sana na ukahaba wa sehemu nyingine hapa TZ kumbe hamna jipya hapo, mambo yao ni yaleyale tu labda kama mtoa mada ndiyo mara yake ya kwanza kuviona vitendo hivyo.
 
Back
Top Bottom