Ahsante kwa kutujulisha ofisi. Kwasisi tunaosafiri sana. Tutapata huduma muhmu hiyoHivyo hivyo. Tanangozi. ifunda. nyororo. Makambako. Igawa. Chimala. uyole. Mbalizi. Songwe. Mlowo. Tunduma eneo la mpemba
Ahsante kwa kutujulisha ofisi. Kwasisi tunaosafiri sana. Tutapata huduma muhmu hiyoHivyo hivyo. Tanangozi. ifunda. nyororo. Makambako. Igawa. Chimala. uyole. Mbalizi. Songwe. Mlowo. Tunduma eneo la mpemba
Kuonja tunda?Ujiandae kuonja kabisa
Nilipita hapo wk iliyopita sikuona kama kuna dalili ya kupata huduma hiyoVybe ipo Kihonda kabla hujafika Kihonda au kanisani au kabla hujafika kwenye mashamba ya mpunga Kihonda kwa nyuma
Iko barabarani kabisa ukipita na gari unapaona.
siwadharau hata kidgoYap nao ni binadamu wanahitaji kuishi
Nilipita hapo wk iliyopita sikuona kama kuna dalili ya kupata huduma hiyo
Pale vyber Mtukufu aliwapiga mkwala watu wa misitu kuwa ni eneo la.misitu na sio sehem ya kuuza ulabu na Ile biashara kongwe duniani!... Jamaa ni kama kapafunga pale anajenga bigwa kiwanja kinaitwa "Chilakale" pakimalizika patakua pepo kwa biashara Ile kongwe!....panamazingira flani hizi bomba sana!Nilipita hapo wk iliyopita sikuona kama kuna dalili ya kupata huduma hiyo
Ndugu yangu kunawatu wanaishi maisha ambayo mkiambiwa utakanusha!...karibu Moro siku moja nikupeleke mahali uone jehanam anayosema Obama wetu!Buku??? Duuh!
kweli wanaudhi sana hawa SILENT changudoas...ni bora mtu ukajigongee changu la ukweli uondoe genye bila shuruti.Hapo sawa mkuu.Alafu anajidekeza balaa ili umbembeleze, atakutegemea hadi uhuisi kuwa hana wasaidizi wengine.....akikukosa kwa simu tu atalalamika sana...ila wewe ukimkosa atakufix na kukupooza kwa maneno mazuri kumbe ana madanga kama tano hivi.....wewe anakuona zuzu la kuuzia kitaani na maclab ambako wewe ndiye unayegharamia hahahahaaaa.
mkuu, wewe huoni kuwa kwa ukata huu wa serikali ya awamu ya five hawa vyangu wanatusaidia kubana matumizi au unataka raia twende tukagonge wapi? acha roho mbaya hiyo mkuu.HASWAA UMENENA....WANAUME WENYEWE MACHO KODO KODO KUTAKA VYA BEI RAHISI UNAFIKIRI BIASHARA ITAKUFA. HEBU WAWACHUNIE SIKU MBILI TATU UONE KAMA ITIGI ITAKUWEPO......MUNGU ATUSAIDIE TUPAMBANE NA HILI
Mkuu siku hizi kuna public and domestic prostitutes.....wana tabia za kufanana, ni wewe sasa kuangali uchague yupi.kweli wanaudhi sana hawa SILENT changudoas...ni bora mtu ukajigongee changu la ukweli uondoe genye bila shuruti.
mkuu wa DOMESTIC ni very expensive and TIME-CONSUMING....unachukua muda mwingi kubargain bei....kwa PUBLIC prostitutes bei ni rahisi na bargaining time takes 2-4 minutes. niulize mimi mwenye uzoefu huo.Mkuu siku hizi kuna public and domestic prostitutes.....wana tabia za kufanana, ni wewe sasa kuangali uchague yupi.
Ha ha ha naona unazungumzia Itigi hapo Msamvu! Halafu wauzaji ni kuku wa kienyeji kabisa!
Mchana salama kabisa oiiiii iingie satatu nne mpaka Saba! hata wa buku unapata!
Wewe hii bei ya sh. 2,000 umeijuaje?
(Natania mkuu - usijibu hili swali)