Ukahaba huu Msamvu Morogoro ni hatari

Ukahaba huu Msamvu Morogoro ni hatari

Mkuu karibu tena !! Hapa ndio ITIGI mkuu. Kaumba yenyewe inasubiri kwa pale. Nyumbani Park na Vybe pale ni wa chinichini si rahisi kugundua kama siyo mzoefu wa papuchi purchasing.
mkuu, naomba GPS ya VYBE....iko wapi hii?
 
Mkuu naona unapaelewa kweli kweli kule nyuma unapo sema ni hatari unapita unamkuta mtu kainamishwa
du, wakuu naona nyie ni WADAU kabisa....mlijuaje mambo haya? tobaaaaaaaaaaaaaa!!!!!
 
madhara ni mengi kwa hii biashara kuliko faida, serekali haina haja ya kupitisha, ukiwaangalia wanaofanya biashara basi mwisho wao hawapati chochote, iyo 5000 unayopewa mara unakutana na mlevi anakuharibu na matibabu yake zaidi ya lakini tano, maambukizi yataengezeka na kulifanya taifa liendelee kutumia pesa nyingi kwa waathirika, biashara hii lazima ikomeshwe
Serikali ya KUKURUPUKA,ajira hakuna,huduma za kijamii hakuna,huduma muhimu hakuna,njaa ndio usiseme,wacha watu wauze uchi wao baaasi au vipi?
 
Serikali ya KUKURUPUKA,ajira hakuna,huduma za kijamii hakuna,huduma muhimu hakuna,njaa ndio usiseme,wacha watu wauze uchi wao baaasi au vipi?
Binaadamu unaacha kukaa na kufikiria cha maana, unapoteza muda than unakuja na solution bora nijiuze, huu ni ukosefu wa uwezo wa kufikiria, wengi wanaojiuza wanapenda sana short cut ili kupata pesa, wanashindwa kujituma. Utashangaa unasikia wanafunzi wanajiuza kisa hawajaingiziwa pesa za kujikimu, unajiuliza hawa wana akili au matope, hivi unawezaje kuanza kufikiria hili suala, watanzania tubafilike, fursa zipo nyingi za kujitolea na kuanza kufanya kazi, tuache short cut
 
hapo msamvu panaitwa itigi,ni shida kama sinza vile au kimboka halafu pia moro kuna sehemu inaitwa kaumba napo ni matatizo
 
Binaadamu unaacha kukaa na kufikiria cha maana, unapoteza muda than unakuja na solution bora nijiuze, huu ni ukosefu wa uwezo wa kufikiria, wengi wanaojiuza wanapenda sana short cut ili kupata pesa, wanashindwa kujituma. Utashangaa unasikia wanafunzi wanajiuza kisa hawajaingiziwa pesa za kujikimu, unajiuliza hawa wana akili au matope, hivi unawezaje kuanza kufikiria hili suala, watanzania tubafilike, fursa zipo nyingi za kujitolea na kuanza kufanya kazi, tuache short cut
Taja hizo fursa hapa, na jinsi ya kuanza, mnapenda sana poyoyo bila practical
 
Mkuu karibu tena !! Hapa ndio ITIGI mkuu. Kaumba yenyewe inasubiri kwa pale. Nyumbani Park na Vybe pale ni wa chinichini si rahisi kugundua kama siyo mzoefu wa papuchi purchasing.
Haha haha haha "Mamaa aminaaa"
 
Kimboka buguruni. Temeke,sudani, kinondoni makaburini, msasani,! Ohio street,! Posta.! Manzese,Sinza, mlandizi, itigi msamvu, kaumba Moro! Makambako,mafiati Mbeya! Jirani na S.H.amoni . tunduma. Dodoma Tanzania guest house! Mwanza.nyuma ya ofisi za halmashauri ya ilemela.! Musoma karibu na soko kuu.! Moshi karibu na KCU.!
Arusha mlina.na Mianzini.!Tanga, Jirani na stand ya mabasi mjini.!Zanzibar michenzani, na mafunzo.!
Lindi Jirani na stand kuu.! Mtwara...! Malawi eneo linaitwa lunzu na brantire city center Zimbabwe L side lodge, Kampala mitaa ya mijini kati kwenye nighty club. Nairobi city center kwenye nighty club pia.
Haya ni maeneo ambayo Huduma hizi hutolewa sababu ya msingi ya upatikanaji Wa Huduma bado ni mjadala endelevu
Je ni uchumi, tabia, maadili, au starehe?!
Karibuni kwa mjadala na kuongeza na kurekebisha nilipokosea.
 
Back
Top Bottom