Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,832
- 37,437
Kabisa.Siku hizi pamechoka sio kama zamani.
Nasikia samaki ndo pako poa.
Unapata bikra mbichi kabisa
Kabisa.Siku hizi pamechoka sio kama zamani.
Hahahaah bikra mbichi.....!!!!!!!!Kabisa.
Nasikia samaki ndo pako poa.
Unapata bikra mbichi kabisa
Ndio....orijino.Hahahaah bikra mbichi.....!!!!!!!!
Nani aliyekuambia hela ya mzungu unaweza kuchukua bure? Inatakiwa ufanye kazi ndo maana nimesema usibweteke.Hakuna hela za bure za mzungu
tunatarajia kufanya maombi ya mkesha kwaajili ya kuvunja hio roho ya ukahaba maeneo hayo, na inasadikika ni wanafunzi wa chuo kikuu kilicho karibu.
Kwakweli hapo ndo sijui nashangaa. Ni hijabu mtindo mmoja. Wengi wao hutokea visiwani unguja na pembaNdo kusema kwa kuwa kiko karibu ndo wanafanya yao? Dini haitaki hii kitu
Waaache wale raha, ukimwi ndio malipo yaoWanabodi nianze kwa kuwasalimu wote,naomba kuelezea masikiiko yangu makubwa juu ya hali ya ukahaba unaofanyika msamvu karibu a stand kuu eneo la maduka na kwa kina mama nitilie wakati wa usiku,ni hatari sana ukichukulia sheria ya usalama barabarani ya kuzuia mabasi yanayotokea mikoani kulazimishwa kulala pale baada ya saa 4 za usiku.
Kunakuwa na abiria wengi na wasichana wanajiuza na wanafanya ufusika huu nyuma ya magari au chini ya malori au nyuma ya mabanda bila kificho,na bei zao ni sh 2000 =nimeshuhudia uchafu huu ambao ni njia mojawapo ya kusambaza maambukizi ya virusi vya ukimwi.
Bunge la Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania limeanza vikao vyake leo asubuhi huko mjengoni Dodoma. Nenda ukajionee madada poa na machangudoa waliohamia Dodoma kwa muda kutoka mikoa mbali mbali na sehemu mbali mbali kwa lengo la kutoa huduma ya mapenzi kwa waheshimiwa. Hili ni tatizo kubwa mno.Wanabodi nianze kwa kuwasalimu wote,naomba kuelezea masikiiko yangu makubwa juu ya hali ya ukahaba unaofanyika msamvu karibu a stand kuu eneo la maduka na kwa kina mama nitilie wakati wa usiku,ni hatari sana ukichukulia sheria ya usalama barabarani ya kuzuia mabasi yanayotokea mikoani kulazimishwa kulala pale baada ya saa 4 za usiku.
Kunakuwa na abiria wengi na wasichana wanajiuza na wanafanya ufusika huu nyuma ya magari au chini ya malori au nyuma ya mabanda bila kificho,na bei zao ni sh 2000 =nimeshuhudia uchafu huu ambao ni njia mojawapo ya kusambaza maambukizi ya virusi vya ukimwi.
Sawa!!!!Bunge la Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania limeanza vikao vyake leo asubuhi huko mjengoni Dodoma. Nenda ukajionee madada poa na machangudoa waliohamia Dodoma kwa muda kutoka mikoa mbali mbali na sehemu mbali mbali kwa lengo la kutoa huduma ya mapenzi kwa waheshimiwa. Hili ni tatizo kubwa mno.
Saa hizi Pombe kabana unaweza kuwakosa kama ilivokuwa zamaniBunge la Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania limeanza vikao vyake leo asubuhi huko mjengoni Dodoma. Nenda ukajionee madada poa na machangudoa waliohamia Dodoma kwa muda kutoka mikoa mbali mbali na sehemu mbali mbali kwa lengo la kutoa huduma ya mapenzi kwa waheshimiwa. Hili ni tatizo kubwa mno.
Ukimtaka njoo nikoonyeshe, nitupie picha Ili iweje, unadhani sheria za mtandao hazinihusu.Tupia picha tafadhali
Wanabodi nianze kwa kuwasalimu wote,naomba kuelezea masikiiko yangu makubwa juu ya hali ya ukahaba unaofanyika msamvu karibu a stand kuu eneo la maduka na kwa kina mama nitilie wakati wa usiku,ni hatari sana ukichukulia sheria ya usalama barabarani ya kuzuia mabasi yanayotokea mikoani kulazimishwa kulala pale baada ya saa 4 za usiku.
Kunakuwa na abiria wengi na wasichana wanajiuza na wanafanya ufusika huu nyuma ya magari au chini ya malori au nyuma ya mabanda bila kificho,na bei zao ni sh 2000 =nimeshuhudia uchafu huu ambao ni njia mojawapo ya kusambaza maambukizi ya virusi vya ukimwi.