Teeeeeeh teeeeehmkuu mimi siyo mnoko bali ni ushauri tu
Hapa ni wa kumwaga na usitegemee kama watapungua mkuu maana hata wazito wanafika mitaa hii kuondoa stress
mkuu, wewe hukufanikiwa kumega tunda?Wanabodi nianze kwa kuwasalimu wote,naomba kuelezea masikiiko yangu makubwa juu ya hali ya ukahaba unaofanyika msamvu karibu a stand kuu eneo la maduka na kwa kina mama nitilie wakati wa usiku,ni hatari sana ukichukulia sheria ya usalama barabarani ya kuzuia mabasi yanayotokea mikoani kulazimishwa kulala pale baada ya saa 4 za usiku.
Kunakuwa na abiria wengi na wasichana wanajiuza na wanafanya ufusika huu nyuma ya magari au chini ya malori au nyuma ya mabanda bila kificho,na bei zao ni sh 2000 =nimeshuhudia uchafu huu ambao ni njia mojawapo ya kusambaza maambukizi ya virusi vya ukimwi.
mkuu nadhani unamaanisha KAHUMBA.Nadhan unamaanisha kaumba mkuu
du mkuu wewe derva wa malori nini?Hivyo hivyo. Tanangozi. ifunda. nyororo. Makambako. Igawa. Chimala. uyole. Mbalizi. Songwe. Mlowo. Tunduma eneo la mpemba
makufuri kabana hela mkuu....wafanyeje? bora liende.....Ila wamechoka mno mpaka buku wanatoa
yeah! wengi ni wanafunzi wa Morogoro Muslim University (MMU).tunatarajia kufanya maombi ya mkesha kwaajili ya kuvunja hio roho ya ukahaba maeneo hayo, na inasadikika ni wanafunzi wa chuo kikuu kilicho karibu.
naye ni MDAU!!!!!!!!Wewe hii bei ya sh. 2,000 umeijuaje?
(Natania mkuu - usijibu hili swali)