Ukahaba huu Msamvu Morogoro ni hatari

Ukahaba huu Msamvu Morogoro ni hatari

hii n biashara kongwe duniani, uhai wake unategemea uhai wa soko lake. Inashamir kwa sababu wateja wapo weng sana. Pale ITIGI n maaruf sana kwa hi biashara, hamna namna wapewe vibali walipe kodi. wateja n weng mno ndug yangu
 
Wanabodi nianze kwa kuwasalimu wote,naomba kuelezea masikiiko yangu makubwa juu ya hali ya ukahaba unaofanyika msamvu karibu a stand kuu eneo la maduka na kwa kina mama nitilie wakati wa usiku,ni hatari sana ukichukulia sheria ya usalama barabarani ya kuzuia mabasi yanayotokea mikoani kulazimishwa kulala pale baada ya saa 4 za usiku.

Kunakuwa na abiria wengi na wasichana wanajiuza na wanafanya ufusika huu nyuma ya magari au chini ya malori au nyuma ya mabanda bila kificho,na bei zao ni sh 2000 =nimeshuhudia uchafu huu ambao ni njia mojawapo ya kusambaza maambukizi ya virusi vya ukimwi.
Inaelekea na wewe ulijipatia HUDUMA hii haramu ndio maana umenukuu hata bei na site inapofanyika ila asante kwa taarifa tutafuatilia
 
Kwetu hainaga kulemba tunamalizaga
 
Inaelekea na wewe ulijipatia HUDUMA hii haramu ndio maana umenukuu hata bei na site inapofanyika ila asante kwa taarifa tutafuatilia
Alafu hiyo tabia ya kuziona kazi za wenzenu ni khar
amu siyo uungwana
 
hii n biashara kongwe duniani, uhai wake unategemea uhai wa soko lake. Inashamir kwa sababu wateja wapo weng sana. Pale ITIGI n maaruf sana kwa hi biashara, hamna namna wapewe vibali walipe kodi. wateja n weng mno ndug yangu
Ni ushauri mzuri sana kwa wachumi wageuze macho maana badala ya kung'ang'ania kwenye bia na soda na sigara
 
Hivi wadau kipi ni bora.
Kuwa na mahusiano na mwanamke ambaye hujui uaminifu wake,! Pia kumsaidia kutimiza ndoyo zake kwa kumgharamia.kiuchumi, na kama ndio mchepuko basis amani iwe haipo kwa mother house kila uachapo simu nyumbani.
Au kupitia mahali upate Huduma ya chapchap ya kugegedua.
Ambayo bila shaka utatumia condom coz, yeye hatakubali na. We we huwezi kubali kupiga kavu kavu.
Pili. Unampa chake na mnaachana kwa amani.hamna namba ya simu wala kuulizana bebi uko wapi now.!!
Lakini pia hakuna stress za ajabu ajabu.
Ukiwepo pia Uhuru Wa kuchagua unataka mweupe,? Mweusi?mnene? Mwembamba? Mfupi?mrefu? Mwenye hips,?mwenye matako makubwa? Au Wa kawaida.
Kifupi nadhani huku unaweza kufanya utalii Wa ndani kwa bei rahisi na kuiburudisha nafsi yako.
Ninashauri ili kuwe na usawa Wa kijinsia kungekuwa na vijiwe vya wanaume ambapo wakina mama au wadada wenye pesa zao wanaokosa hii Huduma pia wangeenda kununua na kuhudumiwa chap chap. Kwa haraka, salama! Na uhakika zaidi.
 
Back
Top Bottom