Naona wewe maisha ya chuo hujayajua vizuri, chuo unapigika unakosa hadi sabuni wakati boom hujui linaingia mwezi gani!Binaadamu unaacha kukaa na kufikiria cha maana, unapoteza muda than unakuja na solution bora nijiuze, huu ni ukosefu wa uwezo wa kufikiria, wengi wanaojiuza wanapenda sana short cut ili kupata pesa, wanashindwa kujituma. Utashangaa unasikia wanafunzi wanajiuza kisa hawajaingiziwa pesa za kujikimu, unajiuliza hawa wana akili au matope, hivi unawezaje kuanza kufikiria hili suala, watanzania tubafilike, fursa zipo nyingi za kujitolea na kuanza kufanya kazi, tuache short cut
Cc:NshonziHivi wadau kipi ni bora.
Kuwa na mahusiano na mwanamke ambaye hujui uaminifu wake,! Pia kumsaidia kutimiza ndoyo zake kwa kumgharamia.kiuchumi, na kama ndio mchepuko basis amani iwe haipo kwa mother house kila uachapo simu nyumbani.
Au kupitia mahali upate Huduma ya chapchap ya kugegedua.
Ambayo bila shaka utatumia condom coz, yeye hatakubali na. We we huwezi kubali kupiga kavu kavu.
Pili. Unampa chake na mnaachana kwa amani.hamna namba ya simu wala kuulizana bebi uko wapi now.!!
Lakini pia hakuna stress za ajabu ajabu.
Ukiwepo pia Uhuru Wa kuchagua unataka mweupe,? Mweusi?mnene? Mwembamba? Mfupi?mrefu? Mwenye hips,?mwenye matako makubwa? Au Wa kawaida.
Kifupi nadhani huku unaweza kufanya utalii Wa ndani kwa bei rahisi na kuiburudisha nafsi yako.
Ninashauri ili kuwe na usawa Wa kijinsia kungekuwa na vijiwe vya wanaume ambapo wakina mama au wadada wenye pesa zao wanaokosa hii Huduma pia wangeenda kununua na kuhudumiwa chap chap. Kwa haraka, salama! Na uhakika zaidi.
Kikubwa ni kuongeza wigo wa kodiTukihalalisha hii biashara tutakua na faida nyingi kushinda hasara;
1: Kodi itaongezeka.
2: Ukatili wa kijinsia utapungua, wadada wanaojiuza hua wanashindwa kwenda polisi kuripoti matukio ya unyanyasaji wakiwa katika kuwajibika.
3: Tendo litatendwa katika mazingira salama, afya ya mteja itazingatiwa zaidi.
4: Nafasi za ajira zitaongezeka.
Hasara
1: Kuonekana umepotoka kimaadili.
Naona hasara hii tu, ila kadri muda utakavyoenda hata hii itapotea.
Sema utamu Wa hii biashara wauzaji wanapiga dabodabo. Kwanza anapata pesa Pili anafaidi utamuNaona wewe maisha ya chuo hujayajua vizuri, chuo unapigika unakosa hadi sabuni wakati boom hujui linaingia mwezi gani!
akikutana na MTU anayejua majukumu yake vema, Wacha wakamate fursaWengine wako pale lumumba ni UVCCM...nadhan Makonda aanze Na hawa...
Umemsaidia sana mkuu maana ukiona mtu anapinga kitu kama hiki ni njia za kujilindaSiyo tangazo bali ni tahadhari kwa watanzania ukiwemo na wewe
DaaaaaahWanabodi nianze kwa kuwasalimu wote,naomba kuelezea masikiiko yangu makubwa juu ya hali ya ukahaba unaofanyika msamvu karibu a stand kuu eneo la maduka na kwa kina mama nitilie wakati wa usiku,ni hatari sana ukichukulia sheria ya usalama barabarani ya kuzuia mabasi yanayotokea mikoani kulazimishwa kulala pale baada ya saa 4 za usiku.
Kunakuwa na abiria wengi na wasichana wanajiuza na wanafanya ufusika huu nyuma ya magari au chini ya malori au nyuma ya mabanda bila kificho,na bei zao ni sh 2000 =nimeshuhudia uchafu huu ambao ni njia mojawapo ya kusambaza maambukizi ya virusi vya ukimwi.
Uko sahihi sana.!!!huduma bora sana hii ya fasta fasta..
ukipata tu, huna wasiwasi wa kukerwa na simu, mizinga, vibomu wala matumiza makubwa ya pesa..
Ebu tuangalie na kuwianisha hapa kama ukichukua malaya na mtoto wa geti/home/mwanafunzi/mfanyakazi mwenzio.
1. Mtoto wa geti/home/mwanafunzi/mfanyakazi mwenzio hadi ugegede itakupasa utumie si chini ya 40,000/= kwa siku moja kama ifuatavyo
a. uweke vocha, umpigie ili muweke apointment, hapa utatumia =1,000.
b. upande daladala umfuate, ukitumia mwendokasi 650*2 =1,300
c. uende nae sehemu mnywe ata bia tatu tatu za kuanzia 2,500*2*3 =15,000
d. bado hatujashushia na mapande au ata mishikak 4,000*2 =8,000
e. maji ya kunywa, kwa kujibana unanunua k/njaro kubwa 1 = 1,500
f. asa muda wa mgegedo wenyewe chumba bei rahis 15,000 = 15,000
g. muda wa mgegedo umeisha utafumba macho tax unampa 5,000 = 5,000
jumla = 46,800
2. uikienda kwa malaya sasa...
a. daladala kuwafuata waliko 650*2 = 1,300
b. malipo yao tu maana tayar wanasehem zao = 2,000
jumla = 3,300
kwa mantiki hiyo basi, kumgegeda malaya utakua umesave hela nyingi karibia 43,500 kwa kwenda kwa hivi vitoto vya chuo, nyumbania au wafanyakazi enzako.
kwa hako kautafiti kadogo, nnapata jeuri ya kusema gegeda sana malaya okoa pesa
NAWASILISHA....!!!
Mkuu hatulembi sisi....K ikikaa vibaya inapigwa miti tu!Kwetu hainaga kulemba tunamalizaga
haaaa haaa mkuu nmecheka kwa sauti..Uko sahihi sana.!!!
Hivi umewahi waza unamla denda mwanamke uliekutana nae labda miezi tu kadhaa.labda baada ya kujifanya unampenda sana. Lakini hujui kuwa ana ugonjwa Wa kutoka damu mwenye fizi au meno..!!!
Halafu unajifanya umevaa kondom.
Its safe and simple to deal with these sexual workers than hawa tunaowaita sijui demu wangu sijui upuuzi gani
Kama una genye zako nenda kamata demu piga mzigo lipa kisha unasepa
Sio unajitia ufundi ukitoka hapo mashaka tele, kwanza umepigwa hela , sijui ya simu, sijui vocha, Mara hela ya chumba, mara usafiri..
Mwanamke salama maishani ni "Malaya" tu peke yake.!
Wengine wote majanga tu.