Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Someni na nyie jamani....Sasa mnataka muajiriwe hata kama hamna sifa?
Mambo ya ajabu sana kuhusuYonamaro:Mwanakijiji unapenda sana mada hizi kumbuka miaka 2 iliyopita ulianzisha mada gani iliyokuwa inahusiana na masuala haya leo unaruka unatakiwa kuomba radhi kwa mada ile na maneno uliyoporomosha wakati ule
Tukipita kila ofisi serikalini,binafsi,uwiiiii
wachaga tena wako post za juu jamani
inatia moyo lakini ndugu zetu tuwaachie na wengine naona watu wameanza kukasirika najua tofauti za shule ndio sababu basi msisome sana wengine tuingie huko.....wasije wakawalalia bagamoyo dunia mbaya hii..
Wakwe mmenisikia lakini
Bi Mkongwe,
Usiseme uwongo. Katika awamu ya kwanza Wachagga tayari walikuwa mbele kielimu. Kulikuwa hakuna haja ya kuwapa average marks kuliko wengine. Kuanzia enzi za ukoloni Wachagga, Wahaya, wanyakyusa, walikuwa mbele sana katika elimu, thanks to missionary schools in their areas. Kulaumu awamu ya kwanza kwa upendeleo ni uwongo wa mchana.
Yes JP!!!!Hii naitazama kwa jicho la 3, ina maana kubwa zaidi ya hivyo uionavyo! OK..na tuijadili!
Hilo nalo neno la kuzingatia!Maana nielewavyo,ukabila huendana na uasili wa damu ,mahali,matumizi ya lugha moja, pia mila na desturi zinazofanana.
Bi Mkongwe,
Usiseme uwongo. Katika awamu ya kwanza Wachagga tayari walikuwa mbele kielimu. Kulikuwa hakuna haja ya kuwapa average marks kuliko wengine. Kuanzia enzi za ukoloni Wachagga, Wahaya, wanyakyusa, walikuwa mbele sana katika elimu, thanks to missionary schools in their areas. Kulaumu awamu ya kwanza kwa upendeleo ni uwongo wa mchana.