Brightdeemed
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 291
- 139
Ahhahaha niliiona hii
Mzee Mengi watu wanakuheshimu unatongoza na kuishi na vitoto vidogo na kuzaa zaa ovyo wakati mabinti wako wakubwa kuliko hivyo viruka njia ...utaleta magonjwa ya Aibu hata hizo hela za dhuruma unazongangania hazitakusaidia mke mkubwa umeachia vijana wenye nguvu....washughurike utakufa na viagra endelea yetu macho.
heri ya mwaka kaka
Nashukuru Mungu nimeuona Mkuu na niko salama salmini. Heri ya mwaka mpya na kwako pia Mkuu. Kila la heri na baraka kwako na kwa familia yako katika mwaka huu wa 2015.
jamaa mmoja aliibia NBC ni jizi kubwa linalojifanya mtu mwema je mnalijua
huu utakuwa ushauri wa mke wake