Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,268
well said mjombaReginald Mengi ni CCM na Prof Muohngo ni CCM
Ukikuta wakubwa wa CCM wameanza kupigana ni dalili ya Mataifa kuanzisha Vita na hiyo ndo dalili kuu ya anguko la CCM
well said mjombaReginald Mengi ni CCM na Prof Muohngo ni CCM
Ukikuta wakubwa wa CCM wameanza kupigana ni dalili ya Mataifa kuanzisha Vita na hiyo ndo dalili kuu ya anguko la CCM
Mkuu unabishana na taahira! Hajui miaka hiyo shule za sekondari zilikuwa chache sana na ushindani ulikuwa mkubwa sana tofauti na sasa ambapo mpaka kata zina shule 2 za sekondari! Hivyo miaka hiyo kukosa nafasi ya kwenda sekondari ilikuwa kugusa tu!! Pia miaka hiyo shule moja ikishindisha watoto wengi ilikuwa inafungiwa miaka karibia 5 bila kupeleka mwanafunzi hata mmoja!
Kwa kifupi sasa hivi magoli yametanuliwa mno ndo maana sasa hivi hatushangai tena tunaposikia hata asiyejua kusoma anaenda sekondari!
na between the line hiki ndicho Mengi anachomaanisha piaApunguze arrogance kwa sababu kuna watu hawajawahi kufeli.
Ndio maana alienda kusomea miamba na sio kule kwenye fani zenye ushindani.
CCM ni chama cha Mapingamizi, hata hawa wanawekeana mapingamizi sasaReginald Mengi ni CCM na Prof Muohngo ni CCM
Ukikuta wakubwa wa CCM wameanza kupigana ni dalili ya Mataifa kuanzisha Vita na hiyo ndo dalili kuu ya anguko la CCM
Mengi hayupo instagram.. Hii ni habari ya kizushi
Mzee aliwaonea wivu hadi kina joti
Apunguze arrogance kwa sababu kuna watu hawajawahi kufeli.
Ndio maana alienda kusomea miamba na sio kule kwenye fani zenye ushindani.
Mengi hayupo instagram.. Hii ni habari ya kizushi
K. Lyn au!
Nafikiri walikuwa wanafaulu, ila hawakuwa wakipangiwa shule za kuendelea kidato cha kwanza kutokana na nafasi kuwa chache. Mkoa mzima shule moja au mbili za sekondari. Mbaya zaidi hawakuwa wanatoa matokeo ili kujua mtu kapata nini.Sasa Tanzania kama hujaungaunga shule za kata ungetokaje na wewe siyo mtoto wa mwalimu,miaka ya 90 huko shule ya msingi yote anaweza asifaulu hata mmoja watu wanarudia japo wafaulu,kwahiyo mheshimiwa kurudia primary sishangai
Jana Mr Reginald Mengi alipost kwenye Istagram yake kwamba kuna Mtu aliwahi kurudia la Saba mara tau na leo ni Le Porofeseri bila shaka akimaanisha Sospeter Muhongo
Je ana hoja>?
Je ana hoja>?
Mengi anazeeka vibaya, muda sio mrefu atakuwa mchawi, huwezi kumchukia binad mwenzake kiasi hicho kisa kitalu cha gesi
Reginald Mengi ni CCM na Prof Muohngo ni CCM
Ukikuta wakubwa wa CCM wameanza kupigana ni dalili ya Mataifa kuanzisha Vita na hiyo ndo dalili kuu ya anguko la CCM
ngoja niweke pichaUshahidi kuwa alirudia darasa la saba mara tatu uko wapi?