Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,503
- 51,098
Kwani Weusi hawabagui? Probably ndio watu wabaguzi kuliko wote, ila ubaguzi wao hauna effect sababu wapo kwenye bottom ya social orderUbaguzi unapigwa kwa ubaguzi sio kwa maneno rahisi rahisi kama "Say no to racism" au kuomba kupewa ufafanuzi. Mbague anaekubagua.
Kwani Weusi hawabagui? Probably ndio watu wabaguzi kuliko wote, ila ubaguzi wao hauna effect sababu wapo kwenye bottom ya social order
Unataka ufafanuzi wa nini mkuu...shida hii inaletwa na sisi wenyewe Afrija kuwa tegemezi hata kwa vitu vidogo tu.
Mfano uhuru miaka karibu 60 lakini hatuna hata maininjnia competent wa barabara na majengo,inasababisha miradi yote mikubwa kupewa hao wachina mpaka sasa nchi kama nchi tumefeli kujua hata sera yetu nini na tunaelekea wapi tupo tupo tu.
Hapa wanaongelea juu ya Wanaijeria! sio waafrica wote.Ukweli ata mimi nawachukia wanaijeria kutokana na matendo yao ya kishenzi pote walipo-kwa taharifa yako Wanaijeria ndo wanaomiliki mabinti wa Kwao na wa Kitanzania wanaujiuza China,India,Uturuki na kwengineko...wizi wa mitandaoni ,email fake za dealz kama ile aliyotumiwa Dr. Shika (rip) zote ni hawa watuKwako mheshimiwa balozi wa China Tanzania
Naamini huu ujumbe utakufikia
Mimi nakuuliza swali, kwa nini ndani ya nchi yenu China kumekuwa na kampeni mbaya kabisa za kibaguzi dhidi ya watu weusi, mnafikia hatua za kuwafundiha watoto wenu chuki.
Kwa nini mnawabrainwash watoto wenu kupitia chuki?
Hivi kweli nyie mnataka "harmonious world" kama ambavyo huwa mnajinasibisha kwenye kauli zenu?
Namna hii , mkiendelea hivi watu weusi watawachukia sana, kwa sababu hii tabia mnayofanya ndani ya nchi yenu ni mbaya sana
Hatujasahau kipindi cha Korona mlivyokuwa mnanyanyapaa watu weui kwenye mitaa ya miji yenu, leo hii tunaona mnaendeleza tabia mbaya kabisa za kujenga kizazi cha kuchukia watu weusi.
Shame on you
Tunataka majibu kwa nini mnafanya mambo haya, la sivyo na sisi tutawaona na nyie ni washenzi tu na tutaanza kudeal na nyie kama nyie mnavyotutreat
TAZAMA HII VIDEO:
Wanaongelewa watu weusiHapa wanaongelea juu ya Wanaijeria! sio waafrica wote.Ukweli ata mimi nawachukia wanaijeria kutokana na matendo yao ya kishenzi pote walipo-kwa taharifa yako Wanaijeria ndo wanaomiliki mabinti wa Kwao na wa Kitanzania wanaujiuza China,India,Uturuki na kwengineko...wizi wa mitandaoni ,email fake za dealz kama ile aliyotumiwa Dr. Shika (rip) zote ni hawa watu
Namaanisha hiyo njia yako ya kupiga ubaguzi kwa ubaguzi haifanyi kazi sababu waafrica ubaguzi wao hauna effect.Wapi nimesema waafrika sio wabaguzi?
Bila Shaka hata Passport huna. Hii no comment ya hovyo sanaTutafute pesa, hatutakuwa na lawama za kubaguliwa.
Tafuta hela, heshima siyo kitu cha bure. Ukiwa maskini kila mtu atakubagua. Huu tunaita ubaguzi wa rangi hautokani na rangi.Bila Shaka hata Passport huna. Hii no comment ya hovyo sana