Baljurashi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 2,245
- 3,740
Nampenda mno Abdallah Humeyd kwa ajili ya Allah. Nawapenda mno akina Qassim Mafuta na wenzie kwa ajili ya Allah.Hizi fatwa za akina abdallah humeyd ni nzuri wanatukataza tusibishane na watu wasiokuwa waislamu kuepusha matatizo.
Lakini hawa akina Abdallahu humeyd,wenzie akina abuu hashim na watu wenye mrengo wa akina abul fadhli ndio vinara wa kwanza kuwasema vibaya waislamu wenzao.
uislamu gani umwkataza tusizozane na waliokufuru alafu alafu uislamu gani umeruhusu kuzozana na waislamu wenzako ?
Akina humeyd wanatakiwa wajirekebishe wao kwanza baina yao safu zao wanazoziita za kisalafy waziweke sawa wasiwe na magomvi
Then waje waweke sawa baina ya waislamu wengine wasiokuwa masalafy wasiwe na magomvi na waislamu wenzao wasiokuwa salafy.
Sio wanatuzuga kwamba tusizozane na wasiokuwa waislamu kisha wao vinara wa kuzozana na waislamu wenzao.
Namuomba Allah awahifadhi.
Allah atuongoze katika njia iliyonyooka.
SHEIKH ABUL KHATWAAB ABDALLAH HUMEID حفظه الله