Dallas green
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 1,509
- 3,040
Ambao hawapo mtandaoni awa wa mtaani wakimkashifu allah na uislam ndo mnamchoma moto hamkai kimya?
Bora nichome ninapolala moto niteketeze mali zangu ndani kuliko kuacha ibada hiyo pamoja na kuipuuza . Alhamdulillah ndio kwa miaka mingi nimedumu na kuboresha na ni moja kati ya jambo muhimu kwangu na limenisaidia sana Ktk mambo ya kiimani na kidunia pamoja kuleta mabadiliko mengi chanya Ktk maisha yangu.hahaha mkuu adriz unaswali swala 5!?.
dada mtu za siku, so kwasababu story za kutisha kule tumeacha ndo hutaki hata kunisalimia.
Kama ambavyo mimi huwa nafanya.
Sio kama hayaniumi ninayoyasoma humu au Sio kama sina majibu. Ila hukaa kimya kwa sababu ni kweli wengi huja kwa kukashifu na Sio kujifunza.
Ni sawa na kubishana na mjinga hatimae na weye huonekana mjinga.
nashukuru kuskia hivyo mkuu wangu, nakupenda kwaajili ya allah.Bora nichome ninapolala moto niteketeze mali zangu ndani kuliko kuacha ibada hiyo pamoja na kuipuuza . Alhamdulillah ndio kwa miaka mingi nimedumu na kuboresha na ni moja kati ya jambo muhimu kwangu na limenisaidia sana Ktk mambo ya kiimani na kidunia pamoja kuleta mabadiliko mengi chanya Ktk maisha yangu.
ukikaa ukasoma chini dini yako sahihi utaona ambao wanapoteza watu ni naniHizi fatwa za akina abdallah humeyd ni nzuri wanatukataza tusibishane na watu wasiokuwa waislamu kuepusha matatizo.
Lakini hawa akina Abdallahu humeyd,wenzie akina abuu hashim na watu wenye mrengo wa akina abul fadhli ndio vinara wa kwanza kuwasema vibaya waislamu wenzao.
uislamu gani umwkataza tusizozane na waliokufuru alafu alafu uislamu gani umeruhusu kuzozana na waislamu wenzako ?
Akina humeyd wanatakiwa wajirekebishe wao kwanza baina yao safu zao wanazoziita za kisalafy waziweke sawa wasiwe na magomvi
Then waje waweke sawa baina ya waislamu wengine wasiokuwa masalafy wasiwe na magomvi na waislamu wenzao wasiokuwa salafy.
Sio wanatuzuga kwamba tusizozane na wasiokuwa waislamu kisha wao vinara wa kuzozana na waislamu wenzao.
kma untka kujifunza Uislamu karibu mkuuTatizo baadhi yenu huwa mnakejeli sana, mnajiona mnajua kila kitu, mnajiona nyie ndo mko sahihi wengine ni wajinga na wamepotoka, nyie ndo wenye haki zaidi ya wengine.
Hayo ndo hufanya watu watuoe lugha chafu.
Ila hii kitu ni nzuri hasa kwa sisi tunaopenda kujifunza uislam.
mkuu tulikuwa wote moshi nini.ukikaa ukasoma chini dini yako sahihi utaona ambao wanapoteza watu ni nani
Tushkuru wamekuja hawa akina humeyd kutubainishia walinganizi waovu mna jamii ilikua imeshazama kwenye ujinga
mfano
Kuna hawa akina sheikh Ponda walowachukua waislamu na kuwafanyisha maandamano ilihali Uislamu unakataza mambo hayo,Je wasingekuja hawa tungeyajua hayo?
kuna mengi sana wamekuja kutufundisha ambapo hpo nyuma yalikua hayafundishwi haswa Elimu ya Tawhiid
Yni ya kuandika ni mengi mno kma untka zaidi njoo Pm tueleweshane vizuri
Msikitini mtaa ninapoishi walimu wanatokea huko Pongwe kwa kina Humeid, kwa kweli ni watu ambao wanatoa darasa nzuri sana na zenye misingi bora mtaani watu tunafaidika sana kwa namna wanavyojitoa kufundisha japo muda mwingine nikiwasikiliza YouTube kwa kina Abu Fadhil mwenyewe namna wanavyotoa Radd na kubattle na masheikh wengine kuna baadhi ya mambo naona hayako Sawa.ukikaa ukasoma chini dini yako sahihi utaona ambao wanapoteza watu ni nani
Tushkuru wamekuja hawa akina humeyd kutubainishia walinganizi waovu mna jamii ilikua imeshazama kwenye ujinga
mfano
Kuna hawa akina sheikh Ponda walowachukua waislamu na kuwafanyisha maandamano ilihali Uislamu unakataza mambo hayo,Je wasingekuja hawa tungeyajua hayo?
kuna mengi sana wamekuja kutufundisha ambapo hpo nyuma yalikua hayafundishwi haswa Elimu ya Tawhiid
Yni ya kuandika ni mengi mno kma untka zaidi njoo Pm tueleweshane vizuri
aamyn atuzidishie sote, sisi tupo darasani tunapambana.Allah akulipe kwa hilo na atuzidishie kheri, shukran na mimi pia nakupenda kwa ajili ya Allah.
Mungu wa kweli kwa mujibu wa dini.. Sasa kwa nini ulazimishe nami nimuamini Huyo Allah kiasi cha hadi kunitungia jina kafiri?Kwa mujibu wa Qur'an neno KAFIRI ni kila yule asomuamini Allah ambae ndie Mungu wa kweli
Kuna mjamaa humu anatuma jina la@Macro Polo na yeye aliwahi kusema Ktk uzi mmoja kuwa mwanzo alikuwa akichukia jina la kafiri na kuitwa hivyo lakini alivyo gugo na kujua maana yake hachukii tena na anaona kawaida mtu akimuita kafiri.Mungu wa kweli kwa mujibu wa dini.. Sasa kwa nini ulazimishe nami nimuamini Huyo Allah kiasi cha hadi kunitungia jina kafiri?
Hip mujibu ya uislamu wako.Allah ndie Mungu wa kweli hakuna Mungu isipokua yeye tu
Naona ungeisoma vizuuuuri post wala usingeandika uliyoandika hivi kakusudia kuzozana au ni matusi ya kumtusi Allah subhanahu wataala pamoja na Mtukufu wa daraja na huko ulikokusudia (RUDUUD) ushawahi kusikia wanatukana mitume naomba utenge muda wako usikilize wanayoyasema tena kwa kuweka chuki pembeni hata mimi binafsi mwanzo nilikuwa nawachukia ila baada ya kukaa na kusikiliza hoja zao Alhamdulillah nimeona usahihi uko wapi
Mimi sikatai kwwmba akina humeyd wana mazuri yao meengi sana.ukikaa ukasoma chini dini yako sahihi utaona ambao wanapoteza watu ni nani
Tushkuru wamekuja hawa akina humeyd kutubainishia walinganizi waovu mna jamii ilikua imeshazama kwenye ujinga
mfano
Kuna hawa akina sheikh Ponda walowachukua waislamu na kuwafanyisha maandamano ilihali Uislamu unakataza mambo hayo,Je wasingekuja hawa tungeyajua hayo?
kuna mengi sana wamekuja kutufundisha ambapo hpo nyuma yalikua hayafundishwi haswa Elimu ya Tawhiid
Yni ya kuandika ni mengi mno kma untka zaidi njoo Pm tueleweshane vizuri
Wanachofanya ni utobu wa adabu wale watu,hata kama wanamazuri yao lakini mabaya yao nao wasemwe pia.mzee wao hawasemi bali wanawabainisha walinganizi waovu na uovu wao kwasababu wanaathiri jamii na hii kazi imeamriwa katika quran unataka tulaaniwe kama wana wa israeli kwa kunyamazia maovu ya wenzao? unataka kufananisha ubainifu wa kielimu na mijadala ya jamiiforums.