miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
- Thread starter
- #181
siendi tenapore mchaga naona maji yarizidi unga,na wewe usiende nyumba za ivo utapata safula
siendi tenapore mchaga naona maji yarizidi unga,na wewe usiende nyumba za ivo utapata safula
wazazi wengi wamekosa hekimaKuna wazazi nao wanachangia watoto kuvunja ndoa zao. Aisee kuna familia kama hujarudi na barua ya maelezo au talaka, au simu basi rudi kwa mumeo, unless kuna ugomvi mkubwa kati yenu na unajulikana kwa wazazi na walishajitahidi kusuluhisha before bila mafanikio. Unampokeaje mke wa mtu bila taarifa yoyote kutoka kwa mumewe, tena anakaa nyumbani zaidi ya miezi 8 mmh? ?? Au wanakutegeshea uende, labda kuna mashtaka kakusemea kwao lol, but kama wazazi walipaswa kukutafuta
ha ha hahaha amoo kakaUmefurahi nini?
Halafu wewe mambo yako siyo
Ila haina kwere!
panakufaaHuku Hapanifai.....
wala katokea kijijini kule marangu hajui kazi vipi? nisiongee sana wakaja kumtambua wengineRafiki yako anafanya hivyo labda kwasababu yeye hajui kazi,
amenMwanamke mzuri ni yule wa Mithali 31, na imekuwa kitu kigumu kidogo sisi wanawake kufikia Mithali 31 tujitahdi jamani. Sisi ndio wajengaji na wabomoaji wa familia.
Sasa ujumbe ni kwaajili ya wanawake, so labda niwe mtazamaji tu... Hahahpanakufaa
kwa ajili ya kumfunda mkeo ha haSasa ujumbe ni kwaajili ya wanawake, so labda niwe mtazamaji tu... Hahah
Ukipata muda utamjibu kwa niaba yangu... Btw pole kwa kazi baenimesikia bae but today niko extra busy
tx darlingUkipata muda utamjibu kwa niaba yangu... Btw pole kwa kazi bae
Tatizo mnaoa wanawake wa mapambo ambao hawajui wajibu na majukumu yao kama wake!Miss chagga kunisemea mie Wangu kwa kweli nimefurahi sana....mie nilishachokaaaa. Naomba nikupe namba yake umshukie kule insta na wasap. Jifanye kungwi wa jamii umnyee unisaidie la sivyo naanza kula beki 3 kuleta heshima nyumbani. Nishachoka mie ..argghhhhh.
Inawezekana alipokuwa katika pirika za kutafuta mume alikuwa akifanya yote anayopaswa kufanya na zaidi!!Yaani kuna wanawake wengine utasema wameolewa kwa bahati mbaya....
tenaa....watu wanalilia ndoa hawazipati wenye Nazi wanachezea!