joshydama
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,623
- 5,049
Real?Humpati my baby sijui Yuko wapi lemme coli him@Asprin dear....!!
Inabidi akae pembeni tu!
Kama hataki kukaa pembeni atakuwa mbinafsi Sana!
Kwanini hataki kuachia nami nifaidi?
Real?Humpati my baby sijui Yuko wapi lemme coli him@Asprin dear....!!
vijana stress nyingi luv my grandpa so juneee!!Real?
Inabidi akae pembeni tu!
Kama hataki kukaa pembeni atakuwa mbinafsi Sana!
Kwanini hataki kuachia nami nifaidi?
pole sana aiseeKuna mambo yanashangaza kweli,eti mtu umemlipia mahali na harus watu wamekula,anarud kwao na wazaz wanampokea,ubaya alienda na mwanangu.
Sana tu sema kuna wanawake majanga sana loohh!Ina ladha sana geniveros ...
Na wanaume wanapenda sana kuwaona wake zao wanachakarika kuwahudumia..
Na utafanikiwa kuuteka moyo wake kwa kiasi kikubwa..
Aisee!mpaka nimekuonea huruma kaka huo ulikua ubavu wa kulazimishaMiss Chaga,mm nmeishi na mke miaka saba,hii harus ilifanyikia mbez beach maeneo ya makonde,ilikuwa june 2009,huyu mke hakujua kunitengea maji ya kuoga wala kuninyooshea nguo,anafoka,ana matusi nilitaman ardhi ipasuke ,nikamuomba sana Mungu maana nilikuwa naogopa hata kurud nyumban,mambo yalikuwa mengi, ndo siku Moja alijifaragua akaondoka nilimshukuru Mungu,leo ni miez nane yuko kwao na mimi niko kivyangu.Sitaman hata kumuona.Mtu niliyejitesa kwa ajili yake anakuwa mtu wa kunidhalilisha ,iliniuma saanaaa.wanawake wengine wanataka waume wawe watumwa ukiwa tofauti inakuwa shidaaa
Huyo nimtoto wangu na yeye,yule wa kwangu ambaye tumekaa naye toka grade one na sasa yko grade six, alijaribu kumfukuza nikawa mkali,ila dogo vitisho vilizid akatoroka akaenda kwa hib yke mzaa mama.mtoto wake ama yeye ni mama wa kambo? mwanamke mwenye roho ngumu hivi kwa mwanae hata ukamchinja ukampika haivi
Kuna wazazi nao wanachangia watoto kuvunja ndoa zao. Aisee kuna familia kama hujarudi na barua ya maelezo au talaka, au simu basi rudi kwa mumeo, unless kuna ugomvi mkubwa kati yenu na unajulikana kwa wazazi na walishajitahidi kusuluhisha before bila mafanikio. Unampokeaje mke wa mtu bila taarifa yoyote kutoka kwa mumewe, tena anakaa nyumbani zaidi ya miezi 8 mmh? ?? Au wanakutegeshea uende, labda kuna mashtaka kakusemea kwao lol, but kama wazazi walipaswa kukutafutaKuna mambo yanashangaza kweli,eti mtu umemlipia mahali na harus watu wamekula,anarud kwao na wazaz wanampokea,ubaya alienda na mwanangu.
Inashangaza sana kwa hao wazazi Heaven Sent. Ila pia kakaetu alipaswa ku confirm kwa wazazi kama mke amefika kwao salama then ndio anyamaze.Kuna wazazi nao wanachangia watoto kuvunja ndoa zao. Aisee kuna familia kama hujarudi na barua ya maelezo au talaka, au simu basi rudi kwa mumeo, unless kuna ugomvi mkubwa kati yenu na unajulikana kwa wazazi na walishajitahidi kusuluhisha before bila mafanikio. Unampokeaje mke wa mtu bila taarifa yoyote kutoka kwa mumewe, tena anakaa nyumbani zaidi ya miezi 8 mmh? ?? Au wanakutegeshea uende, labda kuna mashtaka kakusemea kwao lol, but kama wazazi walipaswa kukutafuta
Ameondoka kwa kuaga au kwa kiburi? Maana kaka zetu unawajua vizuri, ukiondoka kwa kiburi hawezi kujishusha akuulize kama umefika salama, Ila atatafuta means ya kuconfirm kama umefika kweli. Na hao wazazi miezi yote hiyo, hawajiulizi kitu? Ndo Maana nikasema wakwe hata simu hawajapokea kuulizwa kama mke amefika na wapo tu kimya. Angekuwa ameaga lazima tu kuna mazingira wangeyaona, simu na sometimes wakwe mnatumiwa Na zawadi.Inashangaza sana kwa hao wazazi Heaven Sent. Ila pia kakaetu alipaswa ku confirm kwa wazazi kama mke amefika kwao salama then ndio anyamaze.
Ila ameshachelewa sana.
Huyo mr wake atakuwa anampango wa kando kwa hali hiyoo !!!hii tabia si nzuri kabisa na wengi hawajalelewa hivyo sijui wanatoa wapi hizi tabia za kijinga kabisa
vijana-wavulana ndiyo husababisha stress kwa watu wao.vijana stress nyingi luv my grandpa so juneee!!
nyie akuu!!
Nilienda kumuona mtoto nayeye nilimkuta,halafu kna chama flan wote tumo huwa tunakutana kila mwez na yeye anakuwepo.yuko kwao kabisa,confirmed.Inashangaza sana kwa hao wazazi Heaven Sent. Ila pia kakaetu alipaswa ku confirm kwa wazazi kama mke amefika kwao salama then ndio anyamaze.
Ila ameshachelewa sana.
vijana-wavulana ndiyo husababisha stress kwa watu wao.
Ila Gentleman kama mimi..Natambua, nathamini, najali na najua thamani ya mwanamke.
Hamna lolotee...we umefuliaa...!Hanishindi sasa
Achana nae
![]()
![]()
![]()
Yule kwao ni first born halafu wazaz wake ni kama wanamuogopa flan hv,so alitegemea na mume atamuogopa.kimsingi aliondoka kwa kiburi tuu ingawa nilikuwa nataman aondoke maana,,,,Ameondoka kwa kuaga au kwa kiburi? Maana kaka zetu unawajua vizuri, ukiondoka kwa kiburi hawezi kujishusha akuulize kama umefika salama, Ila atatafuta means ya kuconfirm kama umefika kweli. Na hao wazazi miezi yote hiyo, hawajiulizi kitu? Ndo Maana nikasema wakwe hata simu hawajapokea kuulizwa kama mke amefika na wapo tu kimya. Angekuwa ameaga lazima tu kuna mazingira wangeyaona, simu na sometimes wakwe mnatumiwa Na zawadi.
Wazazi ndo walivunja ndoa yenu nyie..!Kuna mambo yanashangaza kweli,eti mtu umemlipia mahali na harus watu wamekula,anarud kwao na wazaz wanampokea,ubaya alienda na mwanangu.
Hakuna mpango wa kando wala nn,nawaogopa wakna dada vbaya sanaaaa.nakaa tuuuuHuyo mr wake atakuwa anampango wa kando kwa hali hiyoo !!!