Ujumbe kwa rafiki yangu

Ujumbe kwa rafiki yangu

afadhali umemwambia ukweli maana wanawake wengine hawajitambui huyo rafiki yako hahajajajitambua nafasi yake kama mama wa familia au nyumba ndo maana wengi wanaibiwa waume zao kwa uzembe huo ambao wanajitakia
kweli aisee mwanume anamuona hg tu
 
afadhali umemwambia ukweli maana wanawake wengine hawajitambui huyo rafiki yako hahajajajitambua nafasi yake kama mama wa familia au nyumba ndo maana wengi wanaibiwa waume zao kwa uzembe huo ambao wanajitakia
wewe hauko hivyo?
 
Kweli umekuwa mama sasa, naona changes katika comments/posts zako kila nikizisoma. Naamini wake zetu watapita humu, kuna somo zito hapa...

Nipe ile namba yako nakurushia vocha..teh!!
asante mkuu nirushie hata kalaki tigo pesa ha ahaha
 
kabandika kucha kuleee
yaani huwa namshangaaa
waache wapewe michepuko
mpuuzi huyoo!!

kuna shogangu hapa hadi chupi za mume anafua housegirl
hata kuanua tu zikikauka hatoi kwenye kamba zitakaa hapo wee zinadondoka mapaka zinachoka
ndoa yake nae ipo hoi
me hata sinaga cha kumshauri maana ni mvivu balaa
Hakuna kitu kizuri kama kumfulia,kumpikia na kumhudumia mmeo kwa mikono yakoo...!

Kazi ndogo hiyoo watu wanashindwaa...!!

Aisee...
 
Miss Chaga,mm nmeishi na mke miaka saba,hii harus ilifanyikia mbez beach maeneo ya makonde,ilikuwa june 2009,huyu mke hakujua kunitengea maji ya kuoga wala kuninyooshea nguo,anafoka,ana matusi nilitaman ardhi ipasuke ,nikamuomba sana Mungu maana nilikuwa naogopa hata kurud nyumban,mambo yalikuwa mengi, ndo siku Moja alijifaragua akaondoka nilimshukuru Mungu,leo ni miez nane yuko kwao na mimi niko kivyangu.Sitaman hata kumuona.Mtu niliyejitesa kwa ajili yake anakuwa mtu wa kunidhalilisha ,iliniuma saanaaa.wanawake wengine wanataka waume wawe watumwa ukiwa tofauti inakuwa shidaaa
 
Back
Top Bottom