Ujumbe kwa rafiki yangu

Ujumbe kwa rafiki yangu

Naanza kuamini Ile thread isemayo "hakuna mume mkorofi kwa mke mnyenyekevu"
 
Hongera sana miss chagga. Kumbe wanawake wanaojitambua bado wapo wengi. Big up!! Kuna cha kujifunza kwa wenye akili. Ila wale wa mwendokasi sijui kama watakuelewa.
wasipo elewa wataishia kulalamika tu kumbe wanatengeneza shetani wao wenyewe na ipo siku atawageuka na kuwamaliza
 
Miss chagga kunisemea mie Wangu kwa kweli nimefurahi sana....mie nilishachokaaaa. Naomba nikupe namba yake umshukie kule insta na wasap. Jifanye kungwi wa jamii umnyee unisaidie la sivyo naanza kula beki 3 kuleta heshima nyumbani. Nishachoka mie ..argghhhhh.
mwanaume mzima unashindwa kusimamia mambo ya nyumbani kwako huna aibu kujitaja hapa
 
Miss chagga kunisemea mie Wangu kwa kweli nimefurahi sana....mie nilishachokaaaa. Naomba nikupe namba yake umshukie kule insta na wasap. Jifanye kungwi wa jamii umnyee unisaidie la sivyo naanza kula beki 3 kuleta heshima nyumbani. Nishachoka mie ..argghhhhh.
Hilo neno nimechoka mie...

linamaanisha nini Mkuu?
 
mwanaume mzima unashindwa kusimamia mambo ya nyumbani kwako huna aibu kujitaja hapa
Unatafuta kama jina lako...ukipata utakuja kujitaja hapa....by the way...dont believe everything you read....some are fabrications to keepbthe ball rolling at the field.
next time usitokwe povu kihiivyo. ..game haihitaji hasira.
 
Wanawake wengi siku hizi katika kulea ni 00% kabisa.

Hata simshangai kwa hilo maana nawaona wengi.
 
Back
Top Bottom